Tuesday 30 June 2015

FAHAMU SABABU YA VIJANA KUJIUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA.





Makala Ya Uchambuzi Wa Habari Za Kijamii.Leo Hii Tunazungumzia Vijana Na Madawa Ya Kulevya,ni Nini Kinacho Sababisha Mpaka Vijana Wanaingia Kwenye Mtandao Wa Madawa Ya Kulevya.Tukiangalia Kwa Sasa Hivi Vijana Wengi Wanapotea Bila Ya Kujali Taifa Linataka Nini,vijana Ni Nguvu Kazi Ya Taifa.Hata Kwa Serikali Nayo Inakosa Kuangalia Vijana Wanataka Kufanyiwa Nini Ili Kujenga Taifa La Leo Na La Kesho,wanacho Angalia Wao Ni Maslahi Yao Tu.Kumbe Wanakosa Kuangalia Vijana Ndio Wanaolinda,kujenga Na Kukuza Uchumi Wa Taifa Letu.Madawa Ya Kulevya Yanaathiri Taifa Kwa Ujumla Je! Tuna Athirika Vipi?
MUANDAAJI WA MAKARA HII NI MRS SHEIRA
PHONE NUMBER:0714416067

0 comments:

Post a Comment