Monday 18 January 2016

#YALIYOJIRI>>>Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) afariki dunia.Fahamu zaidi hapa.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman Said amefariki dunia mapema leo asubuhi akiwa katika mazoezi ya kuogelea.

Taarifa zinaeleza kuwa baada ya tukio hilo Bwa.Suleiman alikimbizwa hospitali ya Agakhan kwa matibabu,na baadae ikaelezwa kuwa amekwishafariki na kuwa mazishi yanatarajiwa kufanyika leo.

Marehemu alipata kuwa Katibu mkuu wa Simba alikopewa jina la Yelstin.Taarifa zaidi tutazidi kufahamishana .

0 comments:

Post a Comment