Tuesday 12 January 2016

#YALIYOJIRI>>>Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afika Muhimbili Kumjulia Hali Waziri Mkuu Staafu Fredrick Sumaye.Fahamu zaidi hapa.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Waziri Mkuu, Mstaafu Frederick Sumaye  ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu hii leo Januari 12, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili kushoto) wakizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amnaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa Matibabu Januari 12, 2016. Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Mama Esther Sumaye.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Balozi Hassan 
Kibelloh ambaye naye  amelazwa katika hospitali ya taifa y Muhimbili kwa Matibabu Januari 12, 2016.

0 comments:

Post a Comment