Saturday 16 January 2016

#YALIYOJIRI>>>UKAWA washinda kiti ca Umeya Kinondoni, Dar es Salaam.Fahamu zaidi hapa.

Vyama vinavyounda UKAWA vimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa Umeya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kupata kura 38 dhidi ya CCM waliopata kura 20.

Meya mpya ni Boniface Jacob. Manispaa ya Ilala zoezi bado linaendelea

0 comments:

Post a Comment