Monday 26 March 2018

MOURINHO AGEUKA KUWA MBOGO, HAMTAKI POGBA KIKOSINI.

Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho, ameshindwa kuvumulia kelele zinazoendelea mitandaoni baada ya kusema rasmi hamuhitaji mchezaji Paul Pogba kwenye kikosi chake.

Kauli hiyo imekuja kutokana na wawili hao kuteka vichwa vya habari kwa muda mrefu kuwa hawana mahusiano mazuri.

Taarifa zinaeleza kuwa Mourinho ameitaka klabu yoyote inayomuhitaji mchezaji huyo iweke ofa mezani ili wakubaliane maana hana mpango naye.

Toni Kroos ametajwa kama mbadala anaywezeka kurithi nafasi ya Pogba kwenye kikosi cha United endapo ataondoka klabuni hapo.

Pogba alijiunga na mashetani hao wekundu mwaka 2016 kwa dau la uhamisho wa dunia wa £89m.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment