Clara Mwatuka Aliyekuwa Mbunge wa Viti maalumu CUF amefariki dunia baada ya gari lake kupinduka
lilipokuwa linashuka Makonde Plateu kuelekea Ndanda.
Gari hili lilikuwa linaendeshwa na dereva wake, ambaye inasemekana ni mwanaye. Maiti ipo chumba cha maiti cha Ndanda Regional Referral hospital.
Chanzo
Picha, taarifa via sondacomblog.com
0 comments:
Post a Comment