Msanii wa kizazi kipya anafaa mika kwa ji Diamond Platnumz
amewasili NAIROBI akikuta mapokezi makubwa kwenye Uwanja wa Ndege wa
Jomokinyatahuku akizungukwa na
wahandishi wa habari na mashabiki wake.
MZEE wa Upako Afukuza Waandishi.Fahamu zaidi hapa.
MMCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar es Salaam,
Anthony Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako, aliwagomea waandishi wa habari
kusikiliza hotuba yake ya ibada na kutuma wasaidizi wake wawaondoe
waandishi …Read More
0 comments:
Post a Comment