Friday, 30 September 2016

#YALIYOJIRI>>>>Taarifa kuhusu kesi ya viongozi waliofungua akaunti bandia ya maafa Kagera.Fahamu zaidi hapa.

Watumishi  watatu wa Serikali akiwamo Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Bukoba, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba wakituhumiwa kutaka kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu. Watumishi hao wanadaiwa kutaka kujipatia fedha hizo baada ya kufungua akaunti feki iitwayo kamati ya maafa Kagera kwa ajili ya kukusanya fedha za kusaidia waathirika...

#MICHEZO>>>Ndege BInafsi ya Cristiano Ronaldo Yaanguka, Hakuwemo Ndani.Fahamu zaidi hapa.

Ndege binafsi ya mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ilianguka wakati ikitua kwenye uwanja wa ndege wa El Prat jijini Barcelona, Jumatatu. Hakuna majeruhi walioripotiwa. Kwa mujibu wa ESPN, Ronaldo, aliyekuwa Dortmund kipindi hicho wakati Real Madrid ilikuwa ikijiandaa kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa waliotoka sare ya 2-2 katika hatua ya makundi dhidi ya Borussia...

#YALIYOJIRI>>>>Chadema kutoa msimamo wa Oparesheni UKUTA Leo.Fahamu zaidi hapa.

Mwezi mmoja baada ya Chadema kusitisha Operesheni Ukuta kupinga inachokiita ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa demokrasia, leo inatarajia kutoa mwelekeo wa mkakati huo. Operesheni hiyo ilipangwa kuzinduliwa Septemba mosi nchini kwa maandamano na mikutano ya hadhara kama maazimio ya Kamati Kuu ya Chadema, baada ya chama hicho kukumbwa na vikwazo kadhaa...

#BURUDANI>>>Lulu Diva Amdhalilisha Tiffah Wa Diamond.Fahamu zaidi hapa.

Video queen matata Bongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kumdhalilisha mtoto wa Mbongo Fleva anayefanya vizuri kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifa ‘Tiffah’ kwa kumuita mbwa wake jina Shikiki, ambalo pia ni jina jingine la utani la mtoto huyo. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, mrembo huyo amemuita mbwa wake huyo jina hilo, kitu ambacho kimetafsiriwa na wengi kama...

#YALIYOJIRI>>>>>Utafiti Twaweza: Nchi Haiongozwi Kidikteta.Fahamu zaidi hapa.

Asilimia 58 ya Watanzania wamepinga kauli za baadhi ya wanasiasa kuwa Rais John Magufuli anaendesha nchi kidikteta huku asilimia 31 imesema haina uhakika na jambo hilo. Aidha, imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wananchi wanaona kwamba baada ya uchaguzi juhudi za kimaendeleo zipewe kipaumbele na vyama vya siasa. Akitoa taarifa za utafiti uliofanywa na Taasisi...

#YALIYOJIRI>>>Waziri Mkuu Kuhamia Dodoma Leo.Fahamu zaidi hapa.

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajia  kuhamia rasmi Dodoma leo. Majaliwa anahamia mjini hapa ikiwa ni sehemu ya kutekeleza ahadi ya Serikali ya awamu ya tano ya kuhamia Dodoma ambako ndiko yaliko makao makuu ya nchi. Julai 25 mwaka huu, katika kilele cha siku ya mashujaa kilichofanyika mkoani hapa, Waziri Mkuu Majaliwa alisema ifikapo Septemba mwaka huu, Serikali...

#YALIYOJIRI>>>>Zanziar Yapitisha Marekebisho ya Katiba Yanayomzuia Rais wa Zanzibar Kushauriana na Kiongozi wa Upinzani.Fahamu zaidi hapa.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imewasilisha marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ya 11 ya mwaka 1984, ambayo yatatoa nafasi na kumpa uwezo Rais wa Zanzibar, kuchagua wajumbe wa Baraza la Wawakilishi bila ya kushauriana na Kiongozi wa Upinzani ambaye kwa sasa hayupo katika baraza hilo. Kwa mujibu wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi...

#BURUDANI>>>>Mwimbaji Ray Vanny Adai Ilifika Wakati Akawa Anaichukia Sauti yake...Afunguka Haya Kuhusu Diamond Platnumz.Fahamu zaidi hapa.

Mwimbaji Raymond Amefunguka ya moyoni kuhusu boss wake aliyemtoa Kimuziki Diamond Platnumz: Rayvanny Mengi yako Moyoni Mwangu.lakini kiukweli siamini hapa nilipo.nilikata tamaa,sikujiamini tena kama ntaweza kufika.kuna muda nilijiona sina bahati hadi nikaanza kuichukia sauti yangu.lakini wewe ulinishika mkono nakunionyesha njia mengi umenielekeza haukuishia hapo ukaona...

Thursday, 29 September 2016

Je, Wivu ni Dalili ya Mapenzi ya Dhati au Roho Mbaya?..Fahamu zaidi hapa.

Leo nimekutana na huu mjadala mahali ulionifanya nilete hilo swali hapo juu. Ni hivii, nimekutana na mtu siku za karibuni na kuanzisha urafiki wa kawaida tu. Sasa katika mazungumzo likaja swala la mapenzi na wivu. Mwenzangu anaamini kuwa na wivu sio mapenzi kwa kuwa, wivu ni dalili ya kumnyima mwenzio kupata kile roho inapenda. Kwamba, kwake yeye hata kama ikitokea...

#YALIYOJIRI>>>>>Raia wa Uganda Alfred Olango auawa na polisi Marekani.Fahamu zaidi hapa.

 Polisi wamekiri kwamba Olango hakuwa na silaha  Polisi katika jimbo la California, Marekani wanasema wamemuua kwa kumpiga risasi mkimbizi wa Uganda ambaye wanasema alitoa kifaa chenye ncha kali mfukoni na kuwalekezea maafisa "kana kwamba alikuwa anawafyatulia risasi." Baadaye, imebainika kwamba ilikuwa ni sigara ya kisasa ifahamikayo kama 'e-cigarette'. Waandamanaji ...

#YALIYOJIRI>>>>Pato La Taifa Lakua Kwa Asilimia 7.9.Fahamu zaidi hapa.

Na Veronica Kazimoto Pato la Taifa limekua kwa jumla ya thamani ya Shilingi trilioni 11.7 katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2016 ikilinganishwa na Shilingi trilioni 10.9 katika kipindi kama hicho cha mwaka 2015. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt. Albina Chuwa amesema ukuaji...

#BURUDANI>>>>Hacker Achukua Account ya Instagram ya Mwanamuziki Chege..Ampiga Mkwala wa Nguvu na Kumpa Masharti Haya.Fahamu zaidi hapa.

Account ya Chege Chigunda imehakiwa na Hacker leo na Hacker huyo ametoa msimamo wake kama alivyoandika kupitia Instagram Account hiyo ya Chege : #Regrann from #chegechigunda - Baada ya maisha kuwa magumu na Serikali kutogawa ajira kazi tu kunyakunyaku wafanyakazi serikalini bila kujua wanaenda kuwa watu wa aina gani mitaani, basi vijana wachawi weusi kama mm acha ile...

#YALIYOJIRI>>>>PROF. Tibaijuka Akataa Kupokea Shilingi 200 Millioni.Fahamu zaidi hapa.

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo. Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo. Alisema lakini aliwaeleza...

#YALIYOJIRI>>>>Maalim Seif 'Kumshitaki' Lipumba kwa mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP).Fahamu zaidi hapa.

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, atatua ofisini kwa kiongozi mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, ili kumueleza mkakati wake wa kutua ofisini kwake, Buguruni jijini Dar es Salaam Maalim anakwenda kwa IGP Mangu kumueleza adhima yake ya kufika ofisi kuu ya chama chake kesho Ijumaa, majira ya saa mbili asubuhi. Hatua ...

#BURUDANI>>>>Nuh Mziwanda Azinguana na Uongozi Wake, Adai Viongozi Wanataka Umaarufu Kuliko Kazi.Fahamu zaidi hapa.

Mkali wa wimbo ‘Jike Shupa’ Nuh Mziwanda amezinguana na uongozi wake ambao alikuwa anafanya nao kazi kwa madai umeshindwa kufanya kazi aliyoitaka. Mapema mwaka huu Petit Man alimchukua msanii huyo na kuamua kumsimamia ikiwa ni wiki chache toka aachane na wasanii wa Endless Fame ya Wema Sepetu. Nuh amedai yeye ni msanii mkubwa na meneja huyo ameshindwa kumfikisha pale...

#MICHEZO>>>TIKETI ZA YANGA VS SIMBA JUMAMOSI, MFUMO MZIMA WA UNUNUZI NA UNUNUE WAPI, SOMA HAPA.

NAMNA YA UPATIKANAJI WA TIKETI MECHI YA YANGA VS SIMBA KUPITIA TIKETI ZA ELEKTRONI...

#BURUDANI>>>>Chris Brown jukwaa moja na Alikiba Mombasa Kenya.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya kuwa msanii Pekee kutoka East Africa kuingia kwenye Nomination za MTVEMA International. Na Baada ya kumfunika Diamond Kule Mombasa. Alikiba ameitwa Tena, Safari hii akiwa na Msanii Mwenye Utukutu mkubwa lakini akiwa kipenzi cha wadada Duniani kote, Mmarekani Chriss Brown.  Wakati Chris Brown akithibitisha kwenye clip ya video inayosambaa kwenye mitandao...

#YALIYOJIRI>>>>SERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA KODI VIFAA VYA INTERNET.FAHAMU ZAIDI HAPA.

SERIKALI imeshauriwa kupunguza ushuru wa vifaa vinavyotumia intaneti ili kuongeza kasi ya maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kijamii zinazotegemea huduma hiyo. Wito huo umetolewa Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni inayotoa huduma za mitandao ya Ericsson, Frode Dyrdal, wakati wa uzinduzi wa mitambo ya gharama nafuu ya kusambaza intaneti. Alisema huduma...

#BURUDANI>>>>Nini Kimemkuta Mwanamuziki Ommy Dimpoz?...Fahamu zaidi hapa.

Wanaukumbi kwema, Leo naombeni mnijuze nini kimemkuta mwanamuziki Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz ambaye kuna kipindi tuliaminishwa kuwa atakuja kumzidi kama sio kumfunika na kumpoteza kabisa Diamond. Ikumbukwe Ommy Dimpoz alianza vizuri kwa kutoa vibao matata kama Nainai, Baadae, Tupogo na Ndangushima. Baada ya hapo ametoa nyimbo zilizoshindwa kutamba kabisa...mfano...

#YALIYOJIRI>>>Makonda Awaponda Wanaobeza Jitihada za Rais Magufuli, ‘Hawajui Wanalolitaka’.Fahamu zaidi hapa.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemmwagia sifa Rais John Magufuli kwa utendaji wake na kusema yeye ni mtu wa kutenda na sio maneno huku akiwapa vidonge vya wale wanaobeza jitihada zake. Makonda ametoa kauli hiyo Jumatano hii kwenye uzinduzi wa ndege mpya za ATCL kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. “Mheshimiwa Rais...

#BURUDANI>>>>Wema Sepetu Awashukuru Waliomtumia Salamu za Birthday.Fahamu zaidi hapa.

Jumatano hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya staa wa filamu Wema Sepetu ambao ndugu, jamaa pamoja na marafiki walimtakia heri na mafanikio mrembo huyo. Moja kati ya vitu ambavyo vilileta gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni baada ya mama Diamond kum-wish malkia huyo wa filamu huku akimkaushia Zari ambaye ni mama watoto wa Diamond. Pia dada zake na Diamond walim-wish...

#MICHEZO>>>>Yusufu Manji akabidhi ekari 700 zitakazojengwa Uwanja wa Klabu ya "YANGA" ufukweni mwa bahari ya Hindi, Gezaulole, Kigamboni.Fahamu zaidi hapa.

Jana Yusufu Manji kaikabidhi Yanga SC hekari 715 kujenga uwanja wa kisasa leo asubuhi hii MO kupitia ukurasa wa Simba SC ametangazwa kulipia kodi ya nyasi bandia zilizokwama kwa muda mrefu bandarini kumalizia ujenzi wa kiwanja cha mazoezi cha timu hiyo pale Bunju.  Huu ndio ushindani wa jadi ambao vilabu hivi uliuweka kando kwa miaka mingi na kuzifanya kuwa...

#MICHEZO>>>>MO DEWJI AFANYA YAKE SIMBA, AMWAGA MAMILIONI YA MISHAHARA, AAHIDI KULIPIA KODI NYASI BANDIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Klabu ya Simba inayo furaha kubwa ya kutangaza kumshukuru mlezi wake bwana Mohammed Dewji kwa kuanza kutekeleza ahadi zake kwa vitendo. Dewji maarufu kama Mo tayari ameshaanza kulipia mishahara ya wachezaji, benchi la ufundi na Sekretarieti ya klabu na atafanya hivyo katika kipindi chote cha mpito kuelekea mabadiliko ya kimuundo ya...

#BURUDANI>>>>Diva: Mastaa wa Bongo waelewe thamani yao, mimi nachaji milioni 3.5 kwa appearance tu.Fahamu zaidi hapa.

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amewataka mastaa wa Tanzania kutambua thamani ya brand zao na kuacha kujichukulia poa. Amedai kuwa mastaa wengi wamekuwa wakitumika bure kufaidisha watu wengine na anadhani ni muhimu wakaacha kujishusha kiasi hicho. Anadai kwa upande wake yeye, hafanyi kitu bure na kudai kuwa hata kuonekana kwenye saa moja kwenye party ya mtu, ni...

#MICHEZO>>>>>WALCOTT 'SHOZINIGA' WA ARSENAL, APIGA MBILI, VIJANA WA WENGER WAIBUKA NA USHINDI WA 2-0 VS BASLE LIGI YA MABINGWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

ARSENAL (4-2-3-1): Ospina 6.5; Bellerin 8, Mustafi 7, Koscielny 7, Monreal 7; Cazorla 7.5, G Xhaka 7; Walcott 8.5 Oxlade-Chamberlain 70), 6 Ozil 7.5, Iwobi 7 (Elneny 70, 6); Sanchez 8.  Subs not used: Cech, Gibbs, Gabriel, Perez, Reine-Adelaide.  Scorer: Walcott (7, 26)  Manager: Arsene Wenger 8 BASLE (3-5-2): Vaclik 7; Suchy 5.5, T Xhaka 6, Balanta...

#BURUDANI>>>>>>Chidi alikuwa apelekwe Ulaya kwenye matibabu kama angemaliza muda wa matibabu Sober House – Kalapina.Fahamu zaidi hapa.

Rapper Kalapina mmoja kati ya wadau ambao walimsaidia Chidi Benz kumpeleka Sober House amefunguka kwa kusema kuwa kitendo cha Chidi Benz kukatisha muda wa matibabu akiwa Sober House kumemkosesha vitu vingi pamoja na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya matibabu. Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio Jumanne hii, Kalapina amesema Chid Benz alikuwa hajapata matibabu...

#YALIYOJIRI>>>>>Vijue Viwanja ambavyo Ndege Mbili za (ATCL) Zitakwenda.Fahamu zaidi hapa.

Waziri Mbarawa alitaja viwanja 12 vitakavyotumiwa na ndege hizi ambayo 11 ni vya ndani ya nchi na kimoja ni cha nje ya nchi. Viwanja hivyo ni;- 1. Dar es Salaam 2. Zanzibar 3. Mwanza 4. Dodoma 5. Arusha 6. Bukoba 7. Kigoma 8. Tabora 9. Kilimanjaro 10. Mbeya 11. Mtwara na 12. Comoros. Akiweka msisitizo wakati wa kuhitimisha hotuba, Waziri Mbarawa alisema...

#BURUDANI>>>>Agness Masogange Aamua Kupima Ukimwi na Kutuonyesha Kukata Mzizi wa Fitina.Fahamu zaidi hapa.

 Baada ya Mrembo Tunda kuanika Majibu yake ya Ngoma tukayaona...Agnes Masogange nayeye awafunga midomo walikuwa wakimsema ana Ugonjwa...Aanika wazi majibu yake. .imethibishwa kuwa Hana HIV...je ukipata nafasi utamshauri nini? ?? Tia neno kwako....

#YALIYOJIRI>>>>Serikali kununua treni ya umeme mwakani.Fahamu zaidi hapa.

Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli imepanga kununua treni ya umeme inayotarajiwa kuwasilini nchini mwezi Juni, 2017. Treni hiyo inatarajiwa kufanya safari katika jiji la Dar es Salaam. Rais Magufuli amesema serikali inauwezo wa kutekeleza ahadi hiyo kwa kuwa fedha za kununulia treni hiyo zipo. Pia Magufuli amesema serikali iko katika harakati...

#BURUDANI>>>>>Kupatwa Kwa Mrembo Huddah: Azama Kimapenzi Kwa Mchagga!...Fahamu zaidi hapa.

 Haya jamani yule Sosholaiti wa Kenya kazama kwa Mchaga wa Kishumundu (Sina uhakika). Kaka huyo ajulikanaye kama Danford Kessy amemteka mrembo huyo ambaye amekiri kuwa ni muda mrefu amekuwa akijilinda lakini sasa amefika bei kwa Mkaka huyo Handsome Tazama Picha ya mwanaume huyo hapa:...