Wednesday, 14 September 2016

#Breaking News>>>>Moto mkubwa umeteketeza mbao na mashine za kuchana mbao Kahama mkoani Shinyanga Usiku huu.Fahamu zaidi hapa.

Moto mkubwa unaodhaniwa umesababishwa na shoti ya umeme umezuka katika viwanda vya mbao jirani na stendi ndogo ya mabasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuteketeza shehena kubwa ya mbao na mashine za kuchana mbao hali ambayo imezua taharuku kwa wafanya biashara wa mbao na wakazi wa maeneo hayo.

Chanzo ITV

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment