Tuesday, 31 January 2017

Yeleuwiii..Eti Gigy Money Anataka Kuokoka Ila Sio Sasa..!!!..Fahamu zaidi hapa.

MUUZA sura kwenye video za Bongo Fleva ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Choice FM, Gift Stanfod ‘Gigy Money’ hivi karibuni amefunguka kuwa, katika maisha yake, ipo siku ataachana na mambo yote yasiyompendaza Mungu kisha kumtumikia muumba wake. Akipiga stori mbili tatu na Global Publishers, Gigy aliweka wazi kuwa, katika maisha ya mwanadamu, hasa kijana...

Mzee Mwenye Wake 86 Afariki Dunia..!!.Fahamu zaidi hapa.

NIGERIA: Mzee mmoja(93) aliyekuwa na wake 86 na watoto zaidi ya 170 amefariki dunia kwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi. Mzee huyo ambaye ni Mhubiri wa zamani wa dini ya Kiislamu nchini Nigeria alikuwa akiwaambia Wanawake hao kuwa Mungu alimuagiza kuwaoa. Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza...

Hatimaye Serikali Yakiri Bungeni Kuwa Baadhi ya Maeneo Nchini Kuna Njaa.Fahamu zaidi hapa.

Jumla ya tani 35,491 za chakula zinahitajika ili kukabiliana na hali ya upungufu wa chakula na lishe kati ya mwezi Februari na mwezi Aprili mwaka huu unaowakabili watu 1,186,028. Taarifa hiyo ya serikali imetolewa bungeni leo na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba wakati akitoa kauli ya serikali kuhusu hali ya upatikanaji wa chakula nchini huku...

MwanaHalisi Lamuomba Radhi Rais Magufuli. Lakiri Habari ilikuwa na Makosa.Fahamu zaidi hapa.

MwanaHalisi Lamuomba Radhi Rais Magufuli. Lakiri Habari ilikuwa na Makosa Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me...

KUONDOKA KWA MJAMAICA PACHA WA SAMATTA, NI NAFASI KWAKE KUJITANGAZA ZAIDI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kama unakumbuka Bailey amekuwa ni pacha wa Mtanzania Mbwana Samatta. Leverkusen imemwaga dola milioni 21 kumpata mshambuliaji huyo kinda matata wa Genk. Samatta na Bailey mara kadhaa wamekuwa wakiisaidia Genk kupaa kwa kufunga au kutengeneza mabao muhimu. Kuondoka kwake kunakuwa na faida mbili kwa Samatta. Kwanza atapata nafasi pana zaidi ya kucheza lakini kwa...

Baba Amgeuza Bintiye Mwenye Ulemavu Kuwa Mke, Aanza Kumtesa Baada ya Kumtumia na Kumchoka.Fahamu zaidi hapa.

Habari ya simanzi na kusikitisha wilayani Chunya Mbeya, Baba amemgeuza bintie wa kumzaa mwenye ulemavu kuwa mke. Baada ya kumtumia kwa namna awezavyo, ameanza kumfanyia vitimbi ikiwa ni pamoja na kuanza kumnyanyasa kuashiria kuwa amemchoka. VIDEO: Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza...

Jamaa Aliyenyang'anywa Demu na Harmo Rapa Ajitokeza na Kulalamika Kupitia Redio.Fahamu zaidi hapa.

Harmo Rapper yule msanii anayejifananisha na Harmonize yadaiwa alimnyanganya Demu presenta na DJ aitwae Msabato na jamaa huyo ameenda studio za EA radio kulalamika na kusema alimnunulia kila kitu na kumpangishia chumba lakini demu huyo ameondoka kwa dharau Demu mwenyewe jamaa anadai alimtoa Arusha na kumleta Dar kisha kumpangishia chumba na kumpa fedha za saluni...

Noma Sana..Hili Ndio povu Alilotoa Lulu Baada ya Video Inayomuonyesha Akivunja Amri ya Sita Kusambaa Mitandaoni..!!!.Fahamu zaidi hapa.

Video ya mtu anayesemekana kuwa ni msanii maarufu wa maigizo nchini, lulu michael, ikimuonyesha msanii huyo akivunja amri ya sita imezagaa mitandaoni.  Video hyo inasemekana kuwa ya muda, hata hivyo mwenyewe kupitia ukurasa wake wa instagram amekanusha vikali kuwa hyo video sio yake bali ni lulu rappe Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye...

Simu yawagombanisha Vanessa na Jux.Fahamu zaidi hapa.

Msanii wa muziki wa bongo fleva Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa mara nyingi huwa wanagombana na mpenzi wake huyo Jux kutokana na tabia yake ya kuchelewa kujibu jumbe fupi au hata kupokea simu zake.  Jux na Vanessa Vanessa Mdee alisema haya kwenye kipindi cha 'Ngaz kwa Ngaz' kinachorushwa na ting'a namba moja kwa vijana EATV na kudai kuwa Jux...

Download wimbo mpya wa Sholo Mwamba & Baba Levo unaoitwa "Noma".

Download wimbo wa Sholo Mwamba & Baba Levo-Noma. Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Download wimbo mpya wa Hugo City unaoitwa "Kwako Mama (Wolowolo)".

Download wimbo wa Hugo City-Kwako Mama (Wolowolo). Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Monday, 30 January 2017

Download wimbo mpya wa Joslin & Laquisher unaoitwa "Tell Me".

Download wimbo wa Joslin & Laquisher-Tell Me. Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

#Breaking News>>>Kocha wa Simba Afunguka Mazito Juu ya Hali ya Timu Yake,Awatolea Povu Mashabiki ..!!! .Fahamu zaidi hapa.

KOCHA Mkuu wa Simba, Joseph Omog ameshusha presha ya mashabiki wa timu hiyo kwa kuwataka kuwa watulivu kwa kuwa bado wana nafasi ya kurekebisha makosa yao na kutimiza lengo ambalo ni ubingwa. Simba inashika nafasi ya pili nyuma ya mahasimu wao Yanga, baada ya Jumamosi kufungwa bao 1-0, na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu, ya Tanzania Bara, uliopigwa Uwanja wa Taifa...

Trump Amtimua Kazi Mwanasheria Mkuu wa Serikali Baada ya Kupinga agizo lake la Kuwazuia Waislamu Wasiingie Marekanii.Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates saa chache tu baada ya kuwaagiza mawakili wa idara ya haki nchini humo kutotetea uamuzi wa kuwawekea vikwazo raia wanaotoka katika baadhi ya mataifa ya kiislamu.   Taarifa ya Ikulu ya Whitehouse imemshtumu kwa usaliti.   Sally Yates ambaye aliteuliwa na Obama alisema kuwa hafikirii...

Kwa Faida Yako:Kutafuna Bigijii kwa Muda Mrefu Kunaweza Kukusababishia Vidonda vya Tumbo..!!!..Fahamu zaidi hapa.

Kuna athari kubwa sana zinazotokana na utafunaji wa bigijii (chewing gums) kwa muda mrefu Utafunaji huo husababisha tumbo kuzalisha acid ya kutosha likifikiri kuna chakula ambacho kinatafunwa tayari kumezwa. Kitendo cha kutafuna bigijii husisimua seli linazozunguka ukuta wa ndani wa tumbo kutengeneza juisi (digestive juice) ambayo husaidia kwenye mmeng’enyo wa chakula. Hii...

DIMITRI PAYET JEURI SANA, AKAMILISHA DILI LA UHAMISHO, AWATOLEA KAULI WEST HAM.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Dimitri Payet ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa Marseille ya Ufaransa akitokea West Ham United ya England kwa ada ya pauni 25m lakini kuna neno ametoa kuhusu timu yake ya zamani. Payet ambaye alitolewa lugha nyingi kali na mashabiki wa West Ham walimuona kama msaliti kwa kugoma kucheza akitaka auzwe amesaini mkataba wa miaka minne na nusu na klabu yake hiyo ya...

Rais wa Guinea achaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Afrika (AU).Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Guinea, Alpha Conde amechaguliwa leo kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU), uchaguzi uliofanyika katika vikao vya viongozi wa nchi wanachama vinavyoendelea katika Makao Makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa nchini Ethiopia. Rais Conde anapokea uongozi kwa Rais wa Chad Idris Deby ambaye alikuwa ndiye kiongozi wa umoja wa hadi. Mwenyekiti wa Umoja...

Njaa na Deni la Tiafa Kutikisa Bunge Kesho..!!!..Fahamu zaidi hapa.

Mkutano wa Sita wa Bunge unaanza Jumanne Januari 31, 2017 na kumalizika Februari 10, 2017 Mjini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine, mkutano huo utaanza na kauli ya serikali kuhusu hali ya chakula pamoja na deni la taifa na hali ya uchumi nchini. Mkutano huo utakuwa ni mahususi kwa ajili ya kupokea Taarifa za mwaka za Kamati za Kudumu za Bunge ambapo Kamati 14...

Picha: Meli kubwa ya kisasa ya Azam yatia nanga Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza.Fahamu zaidi hapa.

Meli mpya na ya kisasa iitwayo AZAM SEALINK 2 aina ya RORO yenye uwezo wa kubeba abiria wapatao 1650, mizigo uzito wa tani 717 sambamba na magari 150 imetia nanga Bandari ya Tanga leo. Meli hiyo inatarajiwa kufanya safari zake na kutoa huduma za kubeba abiria na mizigo ikiwemo magari kutoka Pemba kwenda Unguja hadi Tanga mara moja kwa wiki. Download...

SIMU INAWEZA KUMTIA PAUL POGBA MATATANI, USHAHIDI HUU HAPA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kiungo wa bei kubwa wa Manchester United, Paul Pogba anaweza kuingia matatani baada ya kuonekana akiendesha gari huku akitumia simu kitu ambacho ni kinyume na sheria za uendeshaji gari nchini England. Pogba ameonekana akiendesha gari lake aina ya ua Audi RS6-R lenye thamani ya pauni 85,000 alipokuwa akiwasili mazoezini kwenye Uwanja wa Carrington, Ijumaa iliyopita. Picha ...

Mangwea Awatokea Cpwaa na Noorah,Wafunguka Alichowaambia ..!!!..Fahamu zaidi hapa.

Ikiwa sasa ni miaka minne na miezi kadhaa imepita tangu Rapa Albert Mangwea kufariki dunia, wasanii Noorah pamoja na Cpwaa kwa pamoja wamejikuta wakifanya mpango wa kuingia studio na kurudi na nguvu mpya wakidai kuwa ni maagizo aliyowapa ndotoni. Hatua hiyo ni baada ya wakali hao kwa muda tofauti kumuota rappa huyo na kuamini kuwa huenda alikuwa anawakumbusha kuwa...

Hatimaye Njia Ya Reli Kati Ya Dar Es Salaam Na Ruvu Yafunguliwa.Fahamu zaidi hapa.

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umetoa taarifa kuwa kuanzia saa 9 alasiri leo Januari 30, 2017 njia ya reli kati ya Kituo Kikuu cha Dar es salaam na Ruvu imefunguliwa rasmi kwa shughuli za uendeshaji wa reli. Taarifa hiyo imesema kuwa kazi ya ufunguaji njia imewezekana baada ya Wahandisi na Mafundi wa reli kuyaondoa Mabehewa yaliopata ajali  kutoka...

Sunday, 29 January 2017

#Breaking News>>>>Treni ya abiria inayofanya safari zake kutoka Dar-Kigoma lapata ajali hivi punde.Fahamu zaidi hapa.

Inaelezwa kuwa Treni ya abiria inayofanya safari zake kutoka Dar-Kigoma almaarufu DElux. imepata ajali hivi punde maeneo ya Ruvu mkoa wa Pwani, ikitokea Kigoma kuja Dar,Hivyo kama una ndugu,jamaa au rafiki aliekuwa akisafiri leo. Poleni sana kwa mliopata ajali.  Kwa habari zaidi endelea kufatilia hii blog"www.hebronmalele.blogspot.com" Download  Application...

DARASSA AACHA GUMZO KIGOMA,WANA KIGOMA WAFUNGUKA JINSI WANAVYOMKUBALI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Darasa got a Bless from an old Women Fancy from Kigoma. Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

LWANDAMINA ASHITUKIA PRESHA YA KUKAA KILELENI, AWAPA SOMO WACHEZAJI KABLA YA MWADUI LEO.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kocha George Lwandamina amewata wachezaji wake kuondoa presha ya kuwaza kurejea kileleni na badala yake wacheze kwa lengo la kuishinda Mwadui FC, leo. Yanga inakutana na Mwadui FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Iwapo Yanga itashinda, basi itapaa hadi kileleni ikiwa na pointi 46 na kuiacha Simba yenye 45 kileleni...

HAKIKA VIDEO YA MADEE NI MBAYA…HATIMAYE YAFUTWA YOUTUBE.FAHAMU ZAIDI HAPA.

HAKIKA VIDEO YA HELA ALIYO TOA MADEE NI MBAYA SANA KULINGANA NA HADHI YAKE KWA SASA NA VIDEO KALI ZINAZO TENGENEZWA KWA KIPINDI HIKI Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                            ...

MANE AIMWAGA SENEGAL NJE YA AFCON, AKOSA PENALTI YA MWISHO, CAMEROON YASONGA NUSU FAINALI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Senegal iliyokuwa inapewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa Afcon, imetolewa katika hatua ya robo fainali na Simba Wasioshindika, Cameroon wamesonga mbele. Cameroon wamesonga mbele baada ya ushindi wa penalti 5-4, penalti ya mwisho ya Senegal ilipotelea kwa nyota wake Sadio Mane anayekipiga katika kikosi cha Liverpool nchini England. Kwa Liverpool itakuwa furaha...