Mwenyekiti
wa Chama cha Chadema Freeman Mbowe baada ya hali kuwa mbaya wakati akimaliza
harakati za kumsindikiza EDWARD LOWASSA kuchukuwa fomu ya Urais kwenye tume ya
taifa ya Uchaguzi alipelekwa hospitali baada ya kupata kizunguzungu Aug 10 2015 asema yupo safi hayo yote
yaliyotokea ni kufanya kazi bira kupumzika na kupelekea kizungu zungu.
0 comments:
Post a Comment