Monday 3 August 2015

#YALIYOJIRI>>>Msanii Msagasumu ambae anaimba nyimbo za Vigodolo awagumzo EATV kwenye kipindi cha Mkasi.

Msanii wa nyimbo za Vigidolo awagumzo baada ya kuzungumzia manene ya kiuni ambayo mashabiki wake wanayapenda sana kingine ni kumuona Salama siku ya kwanza,Ata ivyo uyo msanii aliimba wimbo wa Timu ya Simba na Yanga nyimbo zake zimesikika sana kwa waendesha boda boda na kwenye part za uswailini ambazo zina kesha kwa mahalufu Kigodolo.

0 comments:

Post a Comment