Thursday 13 August 2015

#YALIYOJIRI>>>Ujio wa Lowasa Mbeya ni kesho.


Edward Lowassa  Mgombea Urais wa Tanzania 2015 anatarajia kutambulishwa kesho kwa wanachama wa chama chake mkoani Mbeya.

Joseph Mwachembe  Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Mbeya maarufu kwa jina la China, amesema wanachama kutoka wilaya 10 za mkoa huo watafika Jijini Mbeya.

0 comments:

Post a Comment