Monday 16 January 2017

Mmoja wa wa wenye hisa Jamii Media amehojiwa na Jeshi la Polisi kituo cha kati jijini Dar.Fahamu zaidi hapa.

Mmoja wa wenye hisa katika Jamii Media inayomiliki mtandao wa JamiiForums, ndugu Mike Mushi amehojiwa na Jeshi la Polisi kituo cha kati jijini Dar.

Inadaiwa huenda akaunganishwa na kesi mojawapo inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo.



Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment