Monday 16 January 2017

Serikali Yashindwa Kukamilisha Upelelezi ya Kesi inayomkabili Mmiliki wa Jamii Forums...Kesi Yahairishwa tena.Fahamu zaidi hapa.

Kesi namba 458 yenye makosa 2 inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 16 Februari 2017 itakapotajwa tena kwa Hakimu Nongwa kwasababu ya kutokamilika kwa upelelezi upande wa Jamhuri.

Pichani ni Mkurugenzi wa Jamii Media, @macdemelo (Wa pili kulia) akiwa na Wanasheria na wadau waliofika mahakamani Kisutu leo.


Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment