Friday, 31 March 2017

Bombardier Zaingiza Faida ya Bilioni 9 kwa Miezi Minne Toka Zianze Kufanya Kazi Rasmi.Fahamu zaidi hapa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL, Lasislaus Matindi amesema wamefanikiwa kukusanya shilingi Bilioni 9 kwa miezi minne tu kwa kutumia ndege hmbili zilizonunuliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli. Kipindi ndege hizo zinanunuliwa baadhi ya watu walikosoa kuwa hazikuwa na tija kwa Taifa. Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) ilianzishwa mwezi Novemba 2002...

Baada ya Harmorapa..Sasa Kuna Wemarapa..Adai Wema Anajipendekeza Kwake Ila Hana Mpango Nae.Fahamu zaidi hapa.

Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana na kufananishwa na staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu. Kupitia gazeti hili, mrembo huyo anafunguka mambo mbalimbali usiyoyajua kuhusu yeye; Ijumaa: Hivi Tuerny ulijuaje kuwa unafanana na Wema? Tuerny: Nakumbuka mwaka 2012...

Amini Usiamini..Makonda na Mchungaji Gwajima Kupatanishwa!..Fahamu zaidi hapa.

Kuna habari zilizoko chini ya viunga vya watawala zinasema watu wa ‘’kitengo’’ wameamua kulifanyia kazi suala la Mchungaji Gwajima, Clouds Media International na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa sababu halitoi afya njema kisiasa. Kwa kifupi, ‘’kitengo’’ ni neno ambalo kwa kiingereza ni ‘’The ruling class/The Establishment’’. Hawa ni watu ambao moja...

SIMBA WAKO KAMILI KWA AJILI YA KAGERA, WASEMA WANACHOTAKA NI USHINDI.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Kikosi cha Simba wako vizuri kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, keshokutwa. Simba wako tayari kwa mechi hiyo na kesho watafanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini humo. Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja amesema kikosi chao kipo tayari kwa ajili ya mechi. “Mechi ni ngumu tena sana na Kagera ni timu nzuri, tunalitambua...

MAJERAHA YA NGOMA, SASA NI HOFU KWA YANGA MAANA HAKUNA UHAKIKA KESHO.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Yanga wamekuwa na hofu kubwa kutokana na suala la majeruha kuwaandama. Mshambuliaji Donald Ngoma bado anaonekana hana nafasi ya kuisaidia Yanga katika mechi dhidi ya Azam FC, kesho. Ngoma anaonekana hajapona vizuri hali inayosababisha hofu kubwa kwa Yanga ambayo italazimika kuwategemea Obrey Chirwa na Simon Msuva. Mshambuliaji mwingine, Amissi Tambwe naye ni...

Tanzania na Ethiopia zasaini mikataba 3.Fahamu zaidi hapa.

IKULU, DAR: Tanzania na Ethiopia zasaini mikataba 3. Rais Magufuli na Waziri Mkuu wa taifa hilo wakubaliana kushirikiana katika Ulinzi, Riadha, Mafunzo ya Kiswahili na Bandari. Kiongozi huyo wa Ethipia ameahidi na kufungua Ubalozi wa Ethiopia hapa Tanzania. Aidha rais Magufuli ameahidi kutoa eneo la bure kwaajili ya kujengwa kwa ofisi za ubalozi huo. Download  Application...

Skendo Zampa Stress Davido, Alazwa Hospitali.Fahamu zaidi hapa.

MKURUGENZI wa Lebo ya HKN, David Adeleke ‘Davido’ amekimbizwa hospitali na kulazwa huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ‘stress’. Tukio hilo limejiri juzikati ambapo inaelezwa kuwa, Davido amekuwa akisumbuliwa na skendo inayozidi kuenea kwa kasi kuhusiana na kuzaa na mwanamke anayefahamika kama Ayomide Labinjo. Haikuelezwa hasa hospitali ipi amelazwa lakini kupitia Mtandao...

Mahakama Kenya Imeizuia Serikali Kuajiri Madaktari Kutoka Tanzania.Fahamu zaidi hapa.

KENYA: Mahakama imeizuia Serikali kuajiri Madaktari kutoka Tanzania kwa sababu ndani ya nchi hiyo kuna Madaktari 1,400 wasioajiriwa. Mpaka sasa takribani watanzania 400 wenye taaluma ya Utabibu wameomba kazi hiyo. Rais Magufuli alikubali ombi la kupeleka Madaktari 500 ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya kutokana na mgomo unaoendelea nchini humo. Download...

Hali Mbaya CCM Yawaliza Makatibu Wakuu.Fahamu zaidi hapa.

Viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro wamewataka makatibu wa matawi na mashina wa chama hicho kuachana na mpango wa kususia uchaguzi wa viongozi wa ngazi hiyo kwa madai ya kutokulipwa posho za kusimamia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Akizungumza kwa niaba ya wenzake jana, Katibu wa Tawi la Luleni, Kata ya Tomondo, Salumu Waziri alisema kutokana na kudai posho hizo kwa muda...

TANZIA Mbunge Viti Maalum CHADEMA afariki dunia.Fahamu zaidi hapa.

Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Viti Maalum (CHADEMA) akiwakilisha walemavu Dkt. Elly Macha amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu. Dkt Elly Macha (Enzi za uhai wake) Msemaji wa CHADEMA Tumaini Makene amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, ambapo amesema mbunge huyo alikuwa akipatiwa matibabu mkoani Arusha. "Taarifa ni za kweli, mbunge...

Kudadeki..Hivi Ndivyo Tundu Lissu Alivyopambana Kisheria Mahakamani Hadi Mbunge wa Chadema Lijualikali Akaachiwa Huru.Fahamu zaidi hapa.

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana ilitengua hukumu ya kifungo cha miezi sita jela iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kilombero Januari 11 dhidi ya Mbunge wa jimbo hilo, Peter Lijualikali. Jaji Ama-Isaria Munisi alitengua hukumu hiyo dhidi ya Lijualikali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kukubaliana na warufani kwamba hati ya mashtaka...

Kimenuka South Africa..Rais Jacob Zuma Afikiria Kujiuzulu.Fahamu zaidi hapa.

Kutokana na migogoro inayoendelea South Africa ndani ya chama tawala cha African National Congress (ANC), Rais Jacob Zuma anajifikiria kujiuzulu nafasi hiyo mwakani japokuwa muda wake haujaishia. Nini maoni yako Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                            ...

Waziri Mkuu Ataka Mkataba Uvunjwe....Ni wa Mkandarasi aliyenyang’anywa pasipoti na Rais Magufuli.Fahamu zaidi hapa.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitavumilia wakandarasi wasio na uwezo na ambao wanapewa kazi lakini wanashindwa kuzimaliza katika muda uliopangwa. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo, jana (Alhamisi, Machi 30, 2017) wakati akizungumza na watumishi wa Halmamshauri ya Chalinze na wale wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (CHALIWASA) katika ofisi zao,...

SOKA LINALIPA MWANANGU, LINGARD MIEZI 18 MAN UNITED, SASA ANA GARI LA SH MILIONI 500.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Jesse Lingard sasa ana miezi 18 tu ndani ya kikosi cha Manchester United na mafanikio ya kimaisha yameanza kuonekana. Umri wake ni miaka 24 tu, tayari sasa anamiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT lenye thamani ya pauni 200,000 (zaidi ya Sh milioni 545.2) Hii inaonyesha kiasi gain mchezo wa soka unavyoweza kulipa. Kama una kipaji ni vizuri kukitumia...

Waziri Mkuu wa Ethiopia kutua nchini Leo.Fahamu zaidi hapa.

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Dessalegn anatarajiwa kuwasili nchini kesho, Machi 31 kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Hayo yalisemwa jana  na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Masharika, Dkt. Suzan Kolimba alipokuwa Akizungumza na waandishi...

Huyu Ndiye Mwakyembe Bwana..Soma Hapa Maneno Aliyompokea Nayo Nay a Mitego Baada ya Kufika Dodoma…Lazima Ucheke Aisee.Fahamu zaidi hapa.

Rapper Nay wa Mitego, Alhamis hii aliitikia wito wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kukutana naye mjini Dodoma kwaajili ya kuzungumza namna ya kuuboresha wimbo wake Wapo ambao licha ya kuikosoa vikali serikali pamoja na Rais Dkt John Magufuli umepokelewa kwa mikono miwili. Hatua hiyo ilikuja baada ya Rais Magufuli kuamuru kuachiwa...

Bajeti ya Kenya ya mwaka 2017/2018 Yasomwa.....Ajira Sekta ya Umma Zasimamishwa.Fahamu zaidi hapa.

Bajeti ya Kenya ya mwaka 2017/2018, imesomwa jana kinyume na inavyosomwa kawaida mwezi Juni, kutokana na uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti mwaka huu, huku ikitangaza kusimamisha ajira katika sekta ya umma. Katika bajeti hiyo ya shilingi za Kenya trilioni 2.6 (Takriban shilingi trilioni 52 za Tanzania) Waziri wa Fedha, wa nchi hiyo, Henry Rotich ameondoa kodi kwenye...

Hatarii..Siwema Amvua Nguo Hadharani Nay wa Mitego ,Aanika Siri Zake Zote.Fahamu zaidi hapa.

MZAZI mwenziye na Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,  Siwema Hudson amesema kitendo cha serikali kumpa kashikashi kutokana na wimbo wake wa Wapo hakikumshangaza kwani alitarajia hayo yatokee kwa kuwa zilipendwa wake huyo ni mtu wa kukurupuka. Akizungumza na gazeti hili juzi baada ya Nay kutoka polisi, Siwema alisema yeye amekaa na Nay kwa muda mrefu...

Sakata la Vyeti Feki ..Ikulu Yatupa Mpira kwa Waziri Huyu..Kuhusu Vyeti vya Makonda Amefunguka Haya Mazito.Fahamu zaidi hapa.

WAKATI uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma unakamilika leo, Ikulu imemtwisha mzigo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene, kuwa ndiye mhusika mkuu wa suala hilo. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa Machi 20, mwaka huu na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Laurian...

Dk Slaa: Mvumilieni Magufuli.Fahamu zaidi hapa.

BAADA ya kuishi nchini Canada kwa zaidi miaka miwili sasa, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa amesema anakuna kichwa ili kupima mazingira yaliyomfanya aondoke nchini na familia yake kama yapo au laa. Septemba,2015 wakati wa Uchaguzi Mkuu Dk. Slaa alijiweka kando na siasa, kwa kile alichokieleza kutofautiana na chama...

Thursday, 30 March 2017

Download wimbo mpya wa Weusi unaoitwa "Ya Kulevya".

Download wimbo wa Weusi - Ya Kulevya. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...

Mbinu 5 Kali za Jinsi ya Kutongoza Msichana Yoyote Mrembo na Akubali.Fahamu zaidi hapa.

Je , unamtamani msichana mrembo ambae kwa sasa ni kama marafiki ? au unavutiwa na yule demu unayemuona kila siku mtaani na unashidwa kujizuia sema hujui uanzaje ? Haijalishi kama unamjua au hamjuani , ila inapokuja kwenye kumtongoza mwanamke unachotakiwa kujua ni uelewa wa vitu kadhaa kuhusu jinsi kutamani kunavyokua na jinsi ya kufanyia kazi ili ufanikiwe . Kumtongoza...

Lissu - Nikikutana na Rais Magufuli Nitamsimanga na Kumpa Vidonge Vyake.Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu amesema uongozi wa chama hicho umemwandikia Rais John Magufuli kutaka kukutana naye Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha rasmi na kufanya mazungumzo. “Ni mkutano baina ya Rais na rais,” alisema Lissu katika mahojiano na gazeti hili alipotembelea ofisi za Mwananchi Communications Limited (MCL)...