
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL, Lasislaus Matindi
amesema wamefanikiwa kukusanya shilingi Bilioni 9 kwa miezi minne tu kwa
kutumia ndege hmbili zilizonunuliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Kipindi ndege hizo zinanunuliwa baadhi ya watu walikosoa kuwa hazikuwa na tija kwa Taifa.
Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) ilianzishwa mwezi Novemba 2002...