Friday 27 November 2015

#YALIYOJIRI>>>Kamishina mkuu wa TRA Rished Bashe asimamishwa kazi na Magufuli.Fahamu zaidi hapa.



Rais Dk Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi hiyo

0 comments:

Post a Comment