Wednesday 11 November 2015

#YALIYOJIRI>>>Traffic askari wa usalama barabarani aliyerekodiwa akichukua rushwa toka kwa dereva eneo la Kabuku Tanga, afukuzwa kazi.Fahamu zaidi hapa.

Taarifa hizi zinadai Askari huyo wa usalama barabarani ametiwa kibindoni na wakuu wake wa kitengo akisubiri hatua zaidi kuchukuliwa dhidi yake.

0 comments:

Post a Comment