BREAKING NEWS>>>SIMBA YAMTANGAZA KOCHA WAO MPYA.
Siku chache kabla ya kuanza kwa maandalizi ya msimu ujao wa 2017/2018, kipa wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars
na Klabu ya Ferroviario de Maputo ya Msumbiji, Mohamed Mwalami ameteuliwa kuwa kocha mpya wa …Read More
PEPE AACHANA NA MADRID, ATUA UTURUKI KUJIUNGA NA TIMU YAKE MPYA.
Beki nyota wa Ureno, Pepe ametua nchini Uturuki na kujiunga na Besiktas.
Besiktas ni timu kubwa ya tatu nchini Uturuki baada ya Galatasaray na Fernebahce.
Klabu hiyo imemwaga pauni million 8.3 kumnasa kutoka Real Madrid.…Read More
0 comments:
Post a Comment