Nilipokuwa mdogo,nilimuambia baba angu kuwa: “Tutakuwa matajiri na Na tutakuwa na nyumba nzuri na kubwa” , Baba alinijibu : “Mwanangu hyo ni ngumu” … Lkn Leo ninacho kile nilichomuambia baba, lkn sina baba yangu kwa Sasa amefariki dunia bila kukiona kile nilicho muahidi! – Cristiano Ronaldo Nikujuze tu,,, C Ronaldo ni mmoja kat ya wachezaji waliokulia ktk maisha ya kimaskini mno,,, Wameishi kwny nyumba yenye vyumba viwili tu vya kulala mpk alipokuwa akijielewa (balehe) Amechangia chumba yeye na dada zake ht pale alipokuwa timamu,,, (mvulana) Kutokana na hasira na ugumu wa maisha aliyopitia Ronaldo alihakikisha familia yake wanaishi mahali penye nafasi pale alipopata mshahara wa Kwanza tu (professional) Na mpk Sasa amenukuliwa Mara kadhaa akiuchukia umaskini na amekuwa akijitoa Mara kwa Mara kusaidia watu wanaoishi kwny hali ngumu,,, Anazifanyia kazi ndoto zake
Saturday, 16 July 2016
Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>CRISTIANO RONALDO AKIWA NA BABA YAKE MZAZI KABLA YA KUFARIKI.Fahamu zaidi hapa.
#MICHEZO>>>>CRISTIANO RONALDO AKIWA NA BABA YAKE MZAZI KABLA YA KUFARIKI.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#MICHEZO>>>PSG WALIMUINGIA NEYMAR KWA GIA BAB’KUBWA, AKAWATOLEA NJE.FAHAMU ZAIDI HAPA.Ilibaki kidogo staa wa Barcelona, Neymar asaini kwa matajiri wa Ufaransa, PSG kwa kitita cha pauni milioni 42, kabla ya kuitosa ofa hiyo na kuamua kusalia Barcelona kwa mkataba mpya wa miaka mitano. Mipango hiyo ilikuwa i… Read More
#MICHEZO>>>>MSIMAMO & RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA HIVI HAPA, SIMBA BADO IPO KILELENI.FAHAMU ZAIDI HAPA.Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea wikiendi hii ambapo kutakuwa na mechi kadhaa Jumamosi na Jumapili, Simba bado ipo kileleni katika msimamo wa ligi hiyo ikiwa pointi sawa na Azam FC, jambo zuri ni kuwa timu hiz… Read More
#MICHEZO>>>>>UEFA YAPATA RAIS MPYA.FAHAMU ZAIDI HAPA. Aleksander Ceferin amechaguliwa kuwa rais mpya wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (Uefa). Ceferin, ambaye ni mkuu wa Chama cha Soka nchini Slovenia, amepata kursa 42 kwenye mkutano maalum ulioanyika jijini Athens nchini U… Read More
#MICHEZO>>>>ROONEY AACHWA KIKOSI CHA MAN UNITED KINACHOWAFUATA FEYENOORD.FAHAMU ZAIDI HAPA. Manchester United wametangaza kikosi chao cha wachezaji 20 kitakachosafiri kwenda kuvaana na Feyenoord kwenye mchezo wa Europa huku Rooney na Henrikh Mkhitaryan wakitajwa kuachwa kwenye msafara huo. Jesse Linga… Read More
#MICHEZO>>>PRESHA INAZIDI KUWA KUBWA, SIMBA YABAINI UJANJA WA AZAM FC.FAHAMU ZAIDI HAPA.Simba inatarajia kujitupa dimbani tena Jumamosi ya wiki hii kuumana na Azam FC lakini tayari imegundua ni sekta gani Azam wanaweza kuitumia kuwazidi ujanja, hivyo tayari imejipanga kuhusiana na hilo.Simba imejinadi kuwa i… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment