Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Thierry Henry Kuwa Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Ubelgiji Kuungana na Roberto Martinez.Fahamu zaidi hapa.
Kocha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji Roberto Martinez amesema
mchezaji wa zamani wa klabu za Arsenal na Barcelona, Thierry, ambaye
aling’aa sana wakati akichezea timu ya taifa ya Ufaransa, atakuwa mmoja
wa wasaidizi wake.
Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu ya vijana Arsenal lakini
akajiuzulu Julai baada ya meneja Arsene Wenger kumwambia kwamba hawezi
kufanya kazi hiyo akiwa bado anaendelea kuwa mchanganuzi wa soka kwenye
runinga.
Wakati wa Euro 2016 Henry alikuwa akifanya kazi ya kuchambua soka katika vituo vya Sky Sports na pia alifanya kazi na BBC Sport.
Thierry Henry alikuwa kwenye kikosi cha Ufaransa kilichoshinda Kombe la Dunia mwaka 1998 nyumbani.
Related Posts:
WACHINA WAKIWA KWENYE UBORA WAO, PEPE NAYE AFIKIRIA KWENDA ZAKE CHINA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Unaweza kusema Wachina wameleta mambo, maana beki wa kati wa Real Madrid, Pepe naye anafikiria kwenda China.
Hii ni sikh chache baada ya Carlos Tevez kukamilisha usajili wa kwenda China na atakuwa akipokea euro million … Read More
AZAM FC YAANZA KOMBE LA MAPINDUZI KWA KUICHAPA ZIMANIMOTO BAO 1-0.FAHAMU ZAIDI HAPA.
KLABU
Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imeanza vema michuano ya
Kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Zimamoto bao 1-0, mchezo
uliofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Ushindi huo unaifanya … Read More
SIMBA YAANZA VIZURI KOMBE LA MAPINDUZI BAADA YA KUIPA KICHAPO TIMU YA TAIFA JANG’OMBE MAGOLI 2 KWA 1.FAHAMU ZAIDI HAPA.FULL TIME!Mwamuzi anamaliza mchezo Simba inaibuka na ushindi wa mabao 2-1.Dakika ya 90 + 2: Muda wowote mwamuzi atamaliza mchezo.Dakika ya 90: Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 2 za nyongeza.
Dakika ya 89: Simba wanatulia … Read More
#Breaking News>>>>Boniface Mkwasa sio kocha tena wa Taifa Stars.Fahamu zaidi hapa.
Kocha mzawa ambae ameiongoza timu ya taifa kwa muda mrefu Chalres
Boniface Mkwassa, sasa hivi sio tena kocha wa timu yetu ya taifa.
Rais wa TFF ndugu Jamal Malinzi kupitia ukurasa wa twitter ametoa taarifa inayosomeka:&nb… Read More
Kilichosababisha bondia Francis Cheka kufungiwa kucheza ngumi.Fahamu zaidi hapa.
Leo
December 30, 2016 Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini (TPBC)
imetangaza kumfungia kwa miaka miwili Bondia wa ngumi za kulipwa,
Francis Cheka kufuatia kitendo chake cha kugoma kupanda ulingoni
kupigana na Bondia Abd… Read More
0 comments:
Post a Comment