Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>ALICHO ONGEA WYNE ROONEY BAADA YA KUSIKIA NDUGU YAKE KAPANDA MLIMA KILIMANJARO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
August 18 2016 ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa Anthony McLoughlin ambaye ni shemeji wa mshambuliaji wa kimataifa wa England anayeichezea Man United Wayne Rooney, Anthony August 18 alifanikiwa kupanda mlima Kilimanjaro uliopo Tanzania.
Anthony amepanda mlima Kilimanjaro ikiwa kama ni sehemu ya kumkumbuka mdogo wake Rosie
aliyefariki akiwa na umri wa miaka 14 kutokana na matatizo ya rare
genetics disorder (Rett Syndrome) na kuchangisha fedha kwa ajili ya Claire House Charity ambao walikuwa na mchango mkubwa kwa Rosie.
Wayne Rooney
Siku nane baada ya Anthony kupanda mlima Kilimanjaro na kufika kileleni, Wayne Rooney ambaye ni shemeji yake na Anthony alitumia ukurasa wake wa twitter kumpongeza Anthony, kama hufahamu Anthony ni kaka wa mke wa Wayne Rooney ambaye anajulikana kwa jina la Coleen Rooney.
Related Posts:
#MICHEZO>>>>MAJOGOO WA LIVERPOOL WALIVUNJA DARAJA LA STAMFORD, CHELSEA HOI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Utamu
wa Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ umeendelea kuwa mtamu, hiyo ni
baada ya kushuhudia wenyeji wa Daraja la Stamford wakiangukia pua kwa
wageni wao ambao ni maarufu kwa jina la Majogoo.Mabao mawili
yaliy… Read More
#MICHEZO>>>STARS YAPOROMOKA VIWANGO VYA FIFA, UGANDA VINARA CECAFA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Shirikisho la soka Duniani, FIFA limetoa orodha ya viwango vya ubora kwa mataifa mbalimbali duniani kwa mwezi Septemba.
Orodha inaonesha kwamba, Tanzania imeporomoka kwa nafasi nne kutoka 124 hadi kushika nafasi ya 132.
… Read More
#MICHEZO>>>>DIEGO SIMEONE AAMUA KUIKACHA ATLETICO MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kocha wa klabu ya Atletico Madrid Diego Simeone “El Cholo” hatimaye
siku ya leo amethibitisha taarifa zilizokuwa zimezagaa kuwa ni kweli
amepunguza mkataba wake wa kuitumikia na kuifundisha klabu hiyo ya
nchini Hisp… Read More
#MICHEZO>>>>BAADA YA KIPIGO, MAN UNITED WARUDI NYUMBANI KWA UPOLEE, HIZI NDIYO MAKSI WALIZOPEWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Baada
ya kupoteza mechi dhidi ya Feyenoord katika Europa League, wachezaji wa
Manchester United, viongozi na benchi lote la ufundi wamerejea jijini
Manchester, wakiwa na sura za upole.
Kocha
wa timu hiyo, Jose Mourinho… Read More
#MICHEZO>>>Wapiganaji wapya wa "WWE" waja kwa kishindo.Fahamu zaidi hapa.
Ni kizazi kipya kwa upande wa mchezo wa
mieleka kwa sasa kwa kuwa tayari damu changa tunaona zinachukua nafasi
kubwa ya kuwashinda wahusika wakuu ambao wamezoeleka katika tasnia hii
ya mieleka.
Mbabe ambaye… Read More
0 comments:
Post a Comment