Baada
ya kuanza msimu vizuri kwa kupata ushindi katika mechi mbili mfululizo
za Premier League, wachezaji wa kikosi cha kwanza wa Manchester United
walikuwa na mapumziko ya siku mbili, wamerejea mzigoni leo na kuanza
mazoezi.
Man United ambayo imezifunga Bournemouth na Southampton katika mechi hizo za kwanza inatarajajiwa kukutana na Hull City, wikiendi inayofuata.
Man United ambayo imezifunga Bournemouth na Southampton katika mechi hizo za kwanza inatarajajiwa kukutana na Hull City, wikiendi inayofuata.
0 comments:
Post a Comment