Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Gharama ya Video ya Saka Hela ya Nay ni Sawa na Passo 7 Mpya!...Fahamu zaidi hapa.
Baada ya kukaa kimya bila kutaja kiasi cha fedha alichotumia kushoot
video yake ya ‘Saka Hela’ Nay Wa Mitego amefunguka rasmi kwa mara ya
kwanza.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia
EATV kuwa ametumia kiasi cha $25,000 kushoot video yake hiyo ambazo kwa
hela za kibongo ni zaidi ya shilingi milioni 50. Kiasi hicho cha fedha
kinaweza kununua gari aina ya Passo mpya kutoka show room, saba na
chenji inabaki!
Mpaka sasa wimbo huo una zaidi ya miezi mitatu tangu alipouachia mwezi
Mei mwaka huu kwa kushtukiza na umefanikiwa kutazamwa kwa zaidi ya mara
laki nne kwenye mtandao wa Youtube.
Related Posts:
Zijue Tabia za Wachaga Kutokana na Sehemu Wanazotokea Huko Moshi.Fahamu zaidi hapa.
UTANI WA WACHAGGA.!!
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili
za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi… Read More
Sikia Hii,Gigy Money Afunguka Jinsi Alivyodate na Ali Kiba na Tetesi za Kumwambukiza Ukimwi,Soma Hapa Livee Kujua A - z .Fahamu zaidi hapa.
DAR ES SALAAM: Video queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money’,
ametema cheche akisema kuwa, watu wote wanaomsema kwamba kutokana na
kuvaa nusu utupu na kujiach… Read More
Duh!Unamkumbuka Z Anto ,Basi Jamaa Katangaza Kuuanza Mwaka Huu kwa Kushusha Mjengo Huu wa Maana zaidi ya Wa Daimond.Fahamu zaidi hapa.
Mwanamuziki Z-Anto ambaye aliwahi kufanya vyema katika muziki miaka ya
nyuma na kuamua kukaa pembeni huku akifanya biashara zake ameanza vyema
mwaka 2017 kwa kujenga nyumba ya nne nje ya kazi yake ya sanaa.
Z-A… Read More
Mpenzi wa Ray Kigosi, Chuchu Hans ajifungua mtoto wa kiume.Fahamu zaidi hapa.
Mpenzi wa msanii mkongwe wa filamu Ray Kigosi, Chuchu Hans amejifungua mtoto wa kiume wiki hii, Ray amethibitisha.
Muigizaji huyo ameonyesha furaha yake kwa kuwa huyo ni mtoto wake wa kwanza.
“Asante
mungu kw… Read More
Kajala Masanja akanusha binti yake kuharibikiwa kimaadili, ni baada ya video ya Ngono kusambaa mtandaoni.Fahamu zaidi hapa.
Katika
mitandao mbalimbali ya kijamii ipo video iliyosambaa ambayo inamuhusu
binti mdogo wa chini ya miaka 18 akifanya mapenzi na mtu mzima ndani ya
Gari.
Awali
ilisemekana kuwa katika video hiyo binti aliyeonekana … Read More
0 comments:
Post a Comment