Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Alichokiandika Raymond wa WCB baada ya Kupewa zawadi ya Gari.Fahamu zaidi hapa.
Moja ya headline kwenye mitandao ya kijamii iliyochukua nafasi usiku wa
August 22 2016 ni pamoja na tukio la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa staa wa
bongo flava kutokea katika label ya WCB Raymond ambapo uongozi wake
uliamua kumfanyia suprise ya zawadi ya gari aina ya Toyota Rav 4 yenye
thamani ya milioni 20 za kitanzania.
Leo August 23 Raymond kupitia ukurasa wake wa instagram aliamua kuyatoa yake ya moyoni kwa kuandika…
’Kweli Nimeamini Mungu Hana upendeleo.nilikua mtu nilie jikatia tamaa
ndani ya miaka takribani mi nne nilikua nikiangaika na muziki wangu
nakushukuru sana sana‘
‘Kaka Lao Diamond Platnumz Umenifundisha vitu vingi saaaaaanaaa hadi leo
naiona njia boss wangu Babu Tale ni mwaka wa tano sasa toka Umenijua
umenivumilia kwa mengi hadi leo hii haujanichoka na unanisaidia kwa moyo
mmoja’
‘Boss Sallam Sk Asante sana kwakupigania kila siku thamani ya muziki
wangu nakuakikisha nafika sehemu nzuri Mkubwa Fella wewe ni zaidi ya
mzazi maana umenilea nakunifundisha meeengi kwenye muziki‘
‘Madee Sitoacha kukushukuru kaka lao wewe nikioo naamini unafurahi kuniona mdogo wako hapa nilipo maana unanijua saaaaanaaaa‘
Related Posts:
#BURUDANI>>>>Queen Tipha afunguka baada ya mpenzi wake, Ben Pol kuonekana kwenye picha akibusiana na Snura.Fahamu zaidi hapa.
Latifa Mohamed aka Queen Tipha amefunguka baada ya kusambaa mitandaoni
picha za mzazi mwenzake, Ben Pol akionekana wakibusiana na Snura wakati
walipokuwa mkoani Tabora kwa ajili ya tamasha la Fiesta.
Queen Tipha amekiamb… Read More
#BURUDANI>>>>WEMA Sepetu Akunwa na Wimbo wa Diamond 'Salome' Ajirekodi Akiimba, Diamond Asema Haya.Fahamu zaidi hapa.
Malkia wa filamu Wema Sepetu amekunwa na wimbo mpya wa Diamond Platnumz
‘Salome’ na kuamua kujirekodi video huku akiimba wimbo huo.
Diamond alipost video instagram inayomwonyesha mwigizaji huyo akiimba
wimbo ‘Salome’ huk… Read More
#BURUDANI>>>>Dongo la Diamond Lamtoa Mapovu Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan....Meseji zavuja Zari Akimuomba Msamaaa.Fahamu zaidi hapa.
Hali ni Tete Madale....Dongo la Diamond aliloandika kuhusu wale
wanaojisifu kuwa wanahela lakini watoto wao wanaishi kwenye nyumba ya
kupanga limemfikia mwenyewe ambae ni mume wa dhamani wa Zari aitwaje
Ivan , Nime… Read More
#BURUDANI>>>>BOSS WA BONGO STAR SEARCH…KUFILISIWA NA TRA…ANADAIWA BILIONI 7 ZA KODI,KAMPUNI YAFUNGWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya
Udalali ya Yono, wameifungia Kampuni ya Benchmark Productions na kuipa
muda wa siku 14, iwe imelipa deni la kodi ya Sh bilioni 7.04, vinginevyo
mali za kam… Read More
#BURUDANI>>>>ZARI Amuumbua Hamisa Mobetto, Aanika Live Uchafu Wake na Diamond.Fahamu zaidi hapa.
Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja
model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita
huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi mwenzie ,ambaye
pia ni mpe… Read More
0 comments:
Post a Comment