Home »
Habari Moto
» #BREAKING NEWS>>>>ASKARI WAWILI WAUWAWA USIKU MBAGALA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Moja ya stori zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii usiku huu wa
August 23 2016 ni pamoja na hii inayodaiwa kuuawa kwa askari polisi
wawili kufuatia tukio la uporaji lililotokea katika bank ya CRDB tawi la
Mbande, Mbagala.
kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro ambaye amesema…>>’Ni
kweli kumetokea tukio la uvamizi hapa mbagala lakini kwa taarifa kamili
ntazitoa kesho kwakuwa bado nipo eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi
zaidi‘
Related Posts:
VIDEO:Mbunge wa CUF aliyetimuliwa atoa maneno ya kusisimua.
Wabunge nane waliotimuliwa na Profesa Ibrahim Lipumba , mmoja
alizungumza jana na Waandishi wa habari aliyejulikana kwa jina la Raisa
Abdallah Mussa alisema kuwa walipokosea ni padogo huku akisema si kazi
kubwa sana kup… Read More
Tundu Lissu: Tulipomfukuza ZITTO Kabwe Spika Alizuia, ila Lipumba Akifukuza Wabunge Anakubali Haraka..Kunani?
Tundu Lissu amesema kuna double standard imetumika kuwavua ubunge
wabunge wa CUF, Amesema ikitokea wabunge wa upinzani wakitumiwa na CCM
kuvuruga chama na upinzani ukaamua kuwafukuza spika haridhii kuwafukuza
hadi kesi z… Read More
Baada ya Kutangaza Kununua Ndege, Sasa Askofu Gwajima Kuleta Umeme Megawati 250.
Baaada ya kimya cha muda mrefu Askofu Mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima,
Mchungaji Josephat Gwajima ameibuka na kutangaza kuleta ndege aina ya
'Jet' Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma kwa watumishi wake.
Mchungaji Gwajim… Read More
Tundu Lissu Amchana Waziri Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Bw. Charles Mwijage.
Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na Mwanasheria wa
CHADEMA, Tundu Lissu amefunguka na kumchana Waziri Waziri wa Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Bw. Charles Mwijage kuwa anahamasisha vijana
kujiajiri wakat… Read More
Sherehe Za Uwekaji Wa Jiwe La Msingi Bomba La Mafuta Ghafi Kutoka Hoima Mpaka Chongoleani, Tanga.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda, Yoweri
Kaguta Museveni wakiwasili katika viwanja vya Chongoleani, Mkoani Tanga
tayari kwa sherehe za uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi… Read More
0 comments:
Post a Comment