Home »
Habari Moto
» #BREAKING NEWS>>>>ASKARI WAWILI WAUWAWA USIKU MBAGALA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Moja ya stori zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii usiku huu wa
August 23 2016 ni pamoja na hii inayodaiwa kuuawa kwa askari polisi
wawili kufuatia tukio la uporaji lililotokea katika bank ya CRDB tawi la
Mbande, Mbagala.
kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro ambaye amesema…>>’Ni
kweli kumetokea tukio la uvamizi hapa mbagala lakini kwa taarifa kamili
ntazitoa kesho kwakuwa bado nipo eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi
zaidi‘
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>Waziri Mkuu Atinga Bandari Ya Tanga,Akutana Na MADUDU Kibao.Fahamu zaidi hapa.
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa jana jioni (Ijumaa, Februari 19, 2016) alikagua
bandari ya Tanga na kumtaka Mkuu wa Bandari ya Tanga (Port Master), Bw.
Henry Arika amletee maelezo juu ya ukiukwaji wa manunuzi ya tishari
if… Read More
Habari Katika Magazeti ya Leo siku ya Jumapili ya Februari 21 yako hapa.
… Read More
Matokeo Ya Mtihani Kidato Cha Nne -2015 Yametoka,Yatazame Hapa.
Baraza
la mitihani Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
wa mwaka 2015 yanayoonesha kiwango cha ufaulu kushuka kwa asilimia 0.80.
Akitangaza
matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt… Read More
Habari Katika Magazeti ya Leo siku ya Jumamosi ya Februari 20 yako hapa.
… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu Atangaza Oparesheni Kamata Bodaboda Nchi Nzima.Fahamu zaidi hapa.
MKUU
wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu amewaagiza makamanda wa
Polisi kote nchini, kuendesha oparesheni kali ya kuwachukulia hatua za
kisheria, waendesha bodaboda wasiotii sheria za usalama barabarani.
… Read More
0 comments:
Post a Comment