Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Diamond Platnumz aikataa Mimba ya Lynn LIVE.Fahamu zaidi hapa.
Msikilize Diamond Platnumz Akikana kabisa kuwa na mahusiano na Mrembo
Lynn, Adai hana mawasiliano naye na wala hawajawahi kumuona tena toka
alivyofanya video ya Kwetu na Raymond..
Msikilize Hapa chini:
VIDEO
Related Posts: VIDEO: Jokate alivyojibu BASHITE, Baada ya kuulizwa Kuhusu Paul Makonda.Fahamu zaidi hapa.
Kila staa ana namna anawaangalia viongozi wa nchi pamoja na wadau kutoka katika nyanja mbalimbali.
Jokate alipata fursa ya kuwazungumzia baadhi ya viongozi pamoja na wasanii na kutoa mtazamo wake jinsi anavyowachukulia.
… Read More Nay azungumzia ndoto yake ya uchungaji.Fahamu zaidi hapa.
MKALI wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka
kuwa, kwa sasa anawaza jinsi ya kujenga kanisa ili watu wamwabudu Mungu
lakini hana ndoto za uchungaji kwa sababu haijui Biblia vizuri.
Akistorisha na R… Read More Kuwa chini ya Bongo Records zamani ilikuwa ni kama msanii kuokota gunia la dhahabu, Fid Q asimulia.Fahamu zaidi hapa.
Miaka ya nyuma, Bongo Records kwa Tanzania ilikuwa label ambayo msanii
akiwa chini yake alikuwa akionekana kama mfalme, kwa mujibu wa Fid Q.
Hakikuwa kitu cha mzaha kumridhisha P-Funk Majani hadi akuweke kwenye
roaste… Read More Sakata la Madawa: Vanessa Mdee Akamatwa na Polisi, Apelekwa kwa Mkemia Mkuu.Fahamu zaidi hapa.
Jeshi
la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia mwanamuziki
Vanessa Mdee maarufu Vee Money kwa tuhuma za kujihusisha na biashara
haramu ya dawa za kulevya.
Akizunguzumzia
taarifa hiyo, Mwanasheria wa mwa… Read More Picha za Nusu Utupu Zawapeleka Polisi Gigy Money, Sanchoka na Amber Lulu.Fahamu zaidi hapa.
Sekeseke la picha na video za utupu zinazopachikwa na baadhi ya warembo
kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram kwa lengo la kujipatia wanaume
yaani kujiuza mitandaoni (Cyber Prostitution), linadaiwa kusababisha
baadhi… Read More
0 comments:
Post a Comment