Home »
Habari Moto
» #Breaking News>>>Ajali imetokea usiku huu maeneo ya Amani mjini Unguja.Fahamu zaidi hapa.
Ajali mbaya imetokea usiku huu maeneo ya Amani mjini Unguja ambapo gari moja la mzigo inasemekana lilifel brek na kugonga gari nyengine ambapo hadi sasa inasadikiwa takribani watu 9 hwenda wamefariki Dunia.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>EDWARD Lowassa Ampongeza Rais John Pombe Magufuli.Fahamu zaidi hapa.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA,
Edward Lowassa amempongeza Rais Magufuli kwa kuondoa urasimu katika
taasisi za serikali na kusema hiyo itasaidia kurejesha utendaji kazi kwa
ufanisi.
… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Rais Kenyatta, Mbowe watoa msaada kwa waathirika wa Tetemeko la Ardhi Kagera.Fahamu zaidi hapa.
Rais
wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta amezungumza kwa njia ya simu na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kumpa
pole kufuatia vifo vya watu na madhara mengine yaliyotokana na tetemeko
la … Read More
#YALIYOJIRI>>>>Rais Dkt. Magufuli Amuapisha Balozi Dk. Dau Pamoja Na Makatibu Tawala Wa Mikoa Mitatu Ikulu Jijini Dar Es Salaam.Fahamu zaidi hapa.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe
14 Septemba, 2016 amemuapisha Dkt. Ramadhani Kitwana Dau kuwa Balozi wa
Tanzania nchini Malaysia.
Kabla ya kuteuliwa kuwa Balozi, Dkt. Ra… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Apokea Zaidi Ya Sh. Bil. 1.4 Kwa Ajili Ya Maafa Ya Tetemeko La Kagera.Fahamu zaidi hapa.
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amepokea michango wa zaidi ya sh. bilioni 1.4
kutoka kwa mabalozi wa nchi za nje nchini Tanzania na Jumuia ya
Wafanyabiashara wa Kitanzania kwa ajili ya kusaidia wananchi
waliothirika na tet… Read More
Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Katika Mitandao na Magazetini leo.
Vacancies at Precision Air Ltd , Tembelea www.ajirayako.com share with a friend
Job vacancies at Hivos, Tembelea www.ajirayako.com share with a friend
Vacancies at CVpeople Africa, Tembelea … Read More
0 comments:
Post a Comment