Tuesday, 23 August 2016

#Breaking News>>>Ajali imetokea usiku huu maeneo ya Amani mjini Unguja.Fahamu zaidi hapa.

Ajali mbaya imetokea usiku huu maeneo ya Amani mjini Unguja ambapo gari moja la mzigo inasemekana lilifel brek na kugonga gari nyengine ambapo hadi sasa inasadikiwa takribani watu 9 hwenda wamefariki Dunia.

Kwa habari zaidi endelea kufatilia  hii blog"www.hebronmalele.blogspot.com"


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment