Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>MASKINI HUYU KIONGOZI WA CHADEMA AVALISHWA HILI BANGO LA KARATASI NA POLISI LENYE HAYA MAANDISHI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Huu ndio mtindo ambao Polisi wameanza kuufanya kwa Viongozi wa
Kisiasa watakaokamatwa kwa makosa ya uchochezi.Hii ni kutaka jamii
iwafahamu popote watakapopita kuwa watu hawa ni wachochezi na wawaepuke.
Kuelekea Septemba Mosi,viongozi watakaokamatwa kwa kosa la kichochezi
watashikishwa mabango yanayowatambulisha kama wachochezi katika
Jamii.Hali hii ni kuanzia kwa Mwalimu na kuendeelea mpaka kwa viongozi
wengine.
Related Posts:
#Breaking News>>>>>Mbowe aitikia wito polisi.Fahamu zaidi hapa.
Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani
Bungeni, Freeman Mbowe ameitikia wito wa Jeshi la Polisi mchana huu,
katika kituo cha Polisi kati, Jijini Dar es salaam. tayari kw… Read More
Clouds Media Wayachukua Masafa ya BBC ya Dar Es Salaam,Kusaga Akitangaza Ujio wa Redio Mpya ..!!!.fahamu zaidi hapa.
Station mpya ya redio imetua jijini Dar es Salaam. Inapatikana kwenye masafa ya 103.3 (zamani yalikuwa yakitumiwa na BBC).
Kwa mujibu wa poster iliyowekwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media
Group, Joseph Kusaga, st… Read More
Makonda, Kamanda Sirro Waitwa Mahakamani Leo Kutokana na Kesi Aliyifungua Mbowe.Fahamu zaidi hapa.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Paul Makonda, Kamanda wa Polisi Kanda
Maalumu Dar es Salaam (ZPC), Kamishna Simon Sirro na Mkuu wa Upelelezi
wa kanda hiyo (ZCO), Camilius Wambura, wamepelekewa barua za mwito za
kuw… Read More
Njaa Kali ..Askari Magereza Feki Akamatwa Akiwa na Sare za Polisi Anazozitumia Kuwatishia Watu na Kupanda Nazo Daladala Ili Asilipe Nauli..!! ..Fahamu zaidi hapa.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata askari feki
wa Jeshi la Magereza, Elius Msigwa akiwa amevaa sare za jeshi hilo.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro,
aliwa… Read More
Kazi Imeanza...Wawili Wapoteza Maisha kwa Kukosa Dawa za Kulevya..!!!!.Fahamu zaidi hapa.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya,
Rogers Sianga amesema watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha mkoani
Mwanza kwa sababu ya kukosa dawa za kulevya mtaani kama walivyozoea.
Kamishna S… Read More
0 comments:
Post a Comment