Sunday 27 December 2015

#MICHEZO>>>Atima ya Louis van Gaal ipo matatani ndani ya Manchester United.Fahamu zaidi hapa.

 HAYA CHINI NI MATOKEO YA MCHEZO WA JANA KATI YA Stoke City NA Manchester United AMBAPO Manchester United IMEPOKEA KICHAPO CHA MAGOLI MAWILI HUKU KOCHA WA Manchester United Louis van Gaal AKIENDELEA KUJIWEKEA MAZINGIRA MABAYA KATIKA AJIRA YAKE AKIWA AMEFUNGWA MICHEZO MINGI KWA MFULULIZO,HUKU SWALA HILO LA KUFUNGWA MICHEZO MINGI AKIACHIWA KOCHA WA ZAMANI WA Manchester United SIR ALEX FAGASONI.
Memphis Depay maskini kujihami mbizi kichwa, na kujaribu kupata mlinzi David de Gea, inaruhusu Glen Johnson mraba kwa Bojan
Bojan Krkic slides nyumbani kwa njia ya kukata tamaa United ulinzi kuweka Stoke mbele baada ya dakika 19 juu ya Boxing Day.

0 comments:

Post a Comment