Sunday 27 December 2015

#MICHEZO>>>Bondia Thomas Mashali amchapa Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.Fahamu zaidi hapa.

Bondia Thomas Mashari amchapa Francis Cheka juzi kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.
Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata pointi 96, 93 na 93

0 comments:

Post a Comment