Friday 25 December 2015

#YALIYOJIRI>>Rais Magufuli Ashiriki Misa Ya Krismasi Kanisa La Mtakatifu Peter Jijini Dar Es Salaam Leo.Fahamu zaidi hapa.

 Rais Dk Magufuli na Mkewe wakiwa na Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo baada ya Ibada yaKrismas
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam aliyemkaribisha kusalimia wananchi bada ya kumalizika kwa Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.

0 comments:

Post a Comment