Thursday 7 April 2016

DIAMOND ASHAMBULIWA VIBAYA NA MASHABIKI BAADA YA KUTOBOA PUA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

  • shaakir_wasafiiiHahahahahhaah ngoj @naytrueboy afanye yake Sasa hahahahahhaah
  • rockyfutureSiamini kama kweli
  • captain_guuuugaMi ni shabik ako xana chibu lakin kwa ilo la kutoboa hapana umeenda chaka
  • ibrinho_95Umezogoa Mzee mwenzangu hapo ckupi support kumbuka ulimdis CHID BENZ....KUMBE NA WW UNAPENDAA
  • alilu_hassanata mm camini kama unaweza kuwa shoga ivi @naytuebo
  • drayner_h4@anko_tiffah hawez fany ujinga kam huo #trustme yn hata yy kaipost makusudi iv we unadhn hakujua Kama watu watammaind m nakuambia hajatoboa 😂😂😂😂😂😂😂
  • official_heluahuo sasa ni usolo
  • officialbauch_tzKaka fanya kazi yako bwana vitu vya kawaida sana watu wanashangaa mwanaume atabaki kuwa mwanaume huyu ni chibu dangote rais wa wasanii wamalize mana wameshindwa hata kutofautisha na mtu aliyetoboa achana na mafaralaini hao dondosha mzigo tuvunje record ya make me sing watu woyoooooooo chibuu chibu chibuuu hhhhhh siiiiiiiiiimbaaaaaaaaaaah
  • ibrinho_95Muslim hawako ivyo kumbuka kuna maisha baada ya haya...
  • fursa_leoYan kama ni kwel umetoboa naamia ukawa rasmi.. nta unfollow kwakwel.. @diamondplatnumz @husnasingu
  • v.chuwaEdited
  • ihamaboyHahaahahahahahahahahahaahha yureuwii wacha move iendelee smthng behind
  • farajinho___Unapima Upepo mpira kma Scholes bro @diamondplatnumz 😂😂
  • young_diamond_platnumzCris brwon watandale 👌👌 keep rockin bro
  • v.chuwaEdited
  • hamadmadeezoDuh kama kaka umetoba pua......itaniuma coz sio mm but nitapunguza ushabiki kwako...
  • hamadmadeezoPlz,simaba usifanye ivyo....duh kutoboa pua mtoto wa kiume ....una washabiki wengi afirika but kwa hill sikufichi utawapunguza
  • matangazotzMmmmmh
  • callplatnumzMichezo yenu kutoboa pua bora ninyamaze usnpge mbata..Hv nyi ma MC mnachoimba k2 gan🎤🎤🎤🎤🎤.... ahaaa kunge bro anajua kutoboa pua c inshu eeh bs mm naamn hajatoboa ila kna k2 behind ze scene
  • lovetwins12@pretybeaty poa tu nitampenda hivyo hivyo hahahhaha

0 comments:

Post a Comment