Roma Mkatoliki ni msanii maarufu wa hiphop Tanzania ambaye kwenye upande wa pili wa maisha ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) na April 9 2016 ndoa imefungwa nyumbani Tanga na ni baada ya send-off kufanyika Dar es salaam February 2016.
Sunday, 10 April 2016
Home »
Habari Moto
» Mwanamuziki Roma Mkatoliki Kafunga ndoa Jana Kwao Tanga.Fahamu zaidi hapa.
Mwanamuziki Roma Mkatoliki Kafunga ndoa Jana Kwao Tanga.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>Wakazi wa Magome Kota kuishi miaka 5 kwenye nyumba za kupanga bila kulipa kodi.Wanaodaiwa na NHC Wapewa Siku 7.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza waliokuwa wakazi wa Magomeni Kota kukaa kwenye nyumba za Serikali miaka mitano bure na baadaye kuzinunua kwa bei nafuu. Rais Magufuli … Read More
#YALIYOJIRI>>>Taarifa:Wenye Majina Haya Hapa Wanaitajika Mahakama Kuu ya Tanzania.Fahamu zaidi hapa. Tunaomba kutoa taarifa kuwa, wenye majina na anuani hapo chini ambao ni watumishi/walikuwa watumishi wa Mahakama ya Tanzania wanahitajika kupata taarifa muhimu na maalum juu ya masuala yahusuyo Utumishi wao: Wafik… Read More
#YALIYOJIRI>>>>RAIS OBAMA AAMBIWA NI MTOTO WA KAHABA NA RAIS WA Ufilipino.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Marekani Barack Obama amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali alikuwa amemwita “mwana wa kahaba”. Bw Obama awali alikuwa amesema kwamba angemuuliza kiongozi huyo maswali kuhusian… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu.Fahamu zaidi hapa. Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu … Read More
#YALIYOJIRI>>>HUYU NDO Mtumiaji wa Facebook Mwenye Umri Mkubwa Kuliko Wote Duniani.Fahamu zaidi hapa. Ms Maria Seguar Metzgar mwenye umri wa miaka 105 inasemekana ndiye mtumiaji wa facebook mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani Ms Maria alisherehekea miaka 105 wiki moja iliyopita huku akiwa na marafiki 86 kutoka facebook… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment