Home »
Habari Moto
» #Breaking News>>>>Matokeo ya Kidato cha Sita 2016 Yametoka....Bofya hapa Kuyaangalia.
Matokeo ya Kidato cha Sita 2016 Yametoka....Bofya hapo chini Kuyaangalia
Related Posts:
#Breaking news>>>Mzambia, Mtanzania Wakamatwa na Madawa ya Kulevya India Yenye Thamani ya Bilioni 9.Fahamu zaidi hapa.
NEW DELHI, INDIA: WANAWAKE wawili, Mzambia Thelma Mkandawire (38)
na Mtanzania Pamela David Kiritta (41) wamekamatwa kilo nne za madawa
ya kulevya (cocaine) yenye thamani ya Rs milioni 300 sawa TZS bilioni
9.7 kat… Read More
Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Serikali......Yampa Tundu Lissu DHAMANA Ya Milioni 20.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge
wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manne ya uchochezi.
Wakili
wa Serikali Kishenyi Mutalemwa aliwasilisha maombi ya kup… Read More
Mwiguli Nchemba Amkataza Makonda Kutembea na Ving'ora vya Polisi.Fahamu zaidi hapa.
WAKUU wa Mikoa na Wilaya ni ruksa kutembea na magari ya polisi yenye
ving’ora wanapokwenda kwenye shughuli mbalimbali za utendaji, zikiwamo
za ulinzi na usalama katika maeneo yao.
Ufafanuzi huo ulitolewa na Waziri wa … Read More
Kitwanga Aibuka Bungeni....Atishia Kuongoza Wananchi Kung'oa Mitambo ya Maji Ziwa Victoria.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge
wa Misungwi (CCM), Charles Kitwanga, amesema yuko tayari kuwahamasisha
wananchi wa jimbo lake kwenda kuing’oa ama kuizima mitambo ya kusukuma
maji Ziwa Victoria kupeleka mkoani Shinyanga ikiwa maji hayatafi… Read More
Kampuni ya Mo Dewji, Lamada Hotel ni mdaiwa sugu wa kodi.....maofisa Ardhi wavamia ofisi, Watoa Notisi ya Siku 14.Fahamju zaidi hapa.
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza oparesheni
maalumu ya kukusanya Kodi ya Pango la Ardhi kutoka kwa wadaiwa sugu wa
Makampuni, mashirika ya kiserikali na watu binafsi kwa kuwafuata katika
maeneo yao.… Read More
0 comments:
Post a Comment