TBT mtu wako wa nguvu nikiwa nje ya chumba nilichokua naishi kwa miaka mitatu 2005-2008 Keko Machungwa Dar es salaam toka wakati naanza kazi ya Utangazaji/Uandishi kwenye Radio na Gazeti la #MsemaKWELI Hakijawahi kuwa na umeme kwa miaka yote, pamoja na yote sikuwa na neno kuishi hapa… jirani yangu alikua Bwana @yonathanlanda ndio mambo ya kupasi, kuchaji simu na kuangalia TV nilikua nilimalizana nayo kwake, tusikate tamaa watu wangu, kama una nia… hapo ulipo unapita tu.
Friday, 1 July 2016
Home »
Habari Moto
» TAZAMA Nyumba Aliyokuwa Anaishi Mtangazaji Millard Ayo Kabla Mambo Hayajamyookea.Fahamu zaidi hapa.
TAZAMA Nyumba Aliyokuwa Anaishi Mtangazaji Millard Ayo Kabla Mambo Hayajamyookea.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>Lukuvi agoma kutamka kuzindua Halmashauri maana viongozi ndiyo watendaji.Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameacha hali ya kutokufahamika kwenye Wizara hiyo baada ya kusita kutamka maneno ya kuzindua Halmashauri ya 11 ya wapima ardhi katika hafla iliyofanyika kwen… Read More
#YALIYOJIRI>>>Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na wapiga kura 1,400 wa CCM wahamia CHADEMA.Fahamu zaidi hapa. Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na pamoja na wapiga kura 1,400 wa eneo hilo wilayani Korogwe wamejiunga na CHADEMA huku baadhi yao wakiamua kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwa tiketi ya chama hicho. Wak… Read More
#YALIYOJIRI>>> Mgombea kupitia Chadema UKAWA Edward Lowassa awa gumzo huko Mbagara baada ya kukutana na mapokezi makubwa.Fahamu zaidi hapa. Mgombea kupitia Chadema UKAWA Edward Lowassa akiwa anautubia Wananchi wa Mbagara. Ndani ya Mbagara Mgombea kupitia Chadema UKAWA Edward Lowassa Akiwa na Mboe. Wananchi wa Mb… Read More
#YALIYOJIRI>>>Leo jimbo la Moshi Mjini Mh Japhary mgombea ubunge kupitia Chadema.Jionee hapa. … Read More
#YALIYOJIRI>>Mgombea urais wa chama cha CCM John Magufuli akiwa anawautubia wananchi wa Bukoba.Fahamu zaidi hapa. Mgombea urais wa chama cha CCM John Magufuli akiwa anawautubia wananchi wa Bukoba. … Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment