Thursday, 18 August 2016

#MICHEZO>>>>Timu ya Simba Sasa Kuendeshwa Kwa Hisa..Mo Dewji Akabithiwa Timu.Fahamu zaidi hapa.

Kamati ya Utendaji ya Simba na mfanyabiashara, Mo Dewji leo wafikia makubaliano ya kuendesha Klabu ya Simba kwa mfumo wa hisa.

Hisa zitauzwa kwa wanachama wapya kwa taratibu mahususi, wanachama wa zamani watagawiwa hisa za bure.

0 comments:

Post a Comment