Wednesday 5 April 2017

Baada ya Zitto Kumpongeza JPM kwa Kumteua Kitila..Mange Kimambi Amshushia 'Kichambo' Hiki Kizito.ahamu zaidi hapa.

Aisee Zitto unazingua …. Yani umeongea kama msemaji wa Ikulu sio opposition!! Seriously naomba ukajisikilize Tena kwenye Hii clip Yani umesound kama publicist wa Magufuli…. So sad yani ….Ndo maana hukutia mguuu clouds?? Nyie ndo tunawategea mkamwajibishe Rais kwa utumishi mbovu Alafu unakuja kumlamba lamba na kumsifia Hapa? .. Aisee upinzani uko South Africa tu kwa kina Malema huku kwetu bado sana!!! #LipumbaJR
.
.
Magufuli alichokifanya Hapa ni kuwatenganisha upinzani… Na wewe umemruhusu afanye hicho kitu…… Yani in short umemsaidia Magufuli kudhoofisha upinzani. Kweli Zitto unasema Rais anaondoka kwenye kutenganisha watu, hivi ni kwamba huoni nchi ilivyotenganika kwa Sasa sababu ya Bashite? Very disappointed Na Huyu mtu! Yani I always thought Chadema ndo walimkosea huyu kaka Ila dah huyu jamaa mbaya kushinda Lipumba! Yani Zitto sio mtu!!!!
.
.
.
Na hamuwezi kuelewa why naongea Hivi, Jamani mimi kuna mtu wa CCM aliniapia Miungu yooooote just a few months ago wakati namposti posti Zitto kama opposer wa Magu..akaniambia wewe achana Na Zitto kabisaaa humjui na wala you don’t know how the system works. Hapo Zitto anapiga kelele anatafuta pakumshikia Magu akipapata utamuona atakavyobadilika kama sio yeye… anatafuta pa kumshikia Magu kama alivyomshikaga JK mpaka wakamake a deal akaacha kuichokonoa serikali ya JK.Same thing Na Magu hapo anampa Magu jamba jamba mpaka Magu aingie line Alafu atatulia ataacha kuichonoa serikali kwa issue nzito Yani atabaki kama vile anagusia gusia tuu Ila sio ile kumu-Attack full kama mwanzoni…. Leo kanichekaaaa mnoooooo ananiambia haya mama much know umeona eeeeh??? Wewe bado mtoto mdogo huijui system sisi ndo tunaijua system, Doh, limenishuka shuuuu! Maana nilivyokuwa namtetea Zitto utasema nna undugu nae!!! .


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment