Tuesday 4 April 2017

VIDEO: Swali la kwanza la Mbunge Salma Kikwete (Mke wa Rais Mstaafu ) bungeni Leo.

Baada ya kuapishwa, Mbunge Salma Kikwete ameuliza swali kwa mara ya kwanza na kulielekeza OR-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Mkutano wa saba wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo Dodoma. Leo asubuhi kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu mbunge wa kuteuliwa Mama Salma Kikwete aliapishwa



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment