Sunday 31 July 2016

#BREAKING NEWS>>>>JAMES LEMBELI ARUDI CCM KUTOKA CHADEMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

*_Mhe Lembeli amerudi chama cha CCM hivi mchana wa leo katika mkutano mkubwa wa Mhe Mwenyekiti wa CCM na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli… Huko mjini Kahama. Anasema haoni sababu ya kwenda na “..safari ya uhakika isiyo na uhakika… kule hamna kitu.”_*

0 comments:

Post a Comment