Friday 29 July 2016

#YALIYOJIRI>>>>Pacha wa Magufuli Azua taharuki kariakoo.Fahamu zaidi hapa.

Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake amezua taharuki mitaa ya k,koo baada ya kuwa na muonekano unaofanana na Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jonh Pombe Magufuli.

Mtu huyo ambaye anafanana sana na Rais Magufuli alionekana kufatwa kila anapoenda huku watu wakiwa wamemzunguka wakidhani Rais Magufuli Kavamia Soko la K,koo..

0 comments:

Post a Comment