Friday 22 July 2016

#MICHEZO>>>>TOP 10 YA WACHEZAJI WALIONUNULIWA KWA MKWANJA MREFU ZAIDI HADI SASA.Fahamu zaidi hapa.

Usajili wa Hulk kutoka Zenit St Petersburg kwenda Shanghai SIPG ndiyo usajili ghari zaidi hadi sasa katika dirisha hili la usajili.

Lakini huenda sajili za Pogba na Morata kwenda Manchester United na Chelsea ambazo zinatajwa kugharimu kitita cha £105million na £ 50miliion, usajili wa Hulk hautabaki kuwa ghari katika orodha hii.
Hizi ndiyo sajili 10 ghari zaidi hadi sasa:

10. Miralem Pjanic – kutoka Roma kwenda Juventus
Kiasi: £25.4m
 9. Henrikh Mkhitaryan – kutoka Borussia Dortmund kwenda Manchester United
Kiasi: £26.3m
 8. Renato Sanches – kutoka Benfica kwenda Bayern Munich
Kiasi: £27.5m
 7. Eric Bailly – kutoka Villarreal kwenda Manchester United
Kiasi: £30m
 6. Mats Hummels – kutoka Borussia Dortmund kwenda Bayern Munich
Kiasi: £31.5m
 5. N’Golo Kante – kutoka Leicester kwenda Chelsea
Kiasi: £30m
 4. Michy Batshuayi – kutoka Marseille kwenda Chelsea
Kiasi: £33.2m
3. Granit Xhaka – kutoka Borussia Monchengladbach kwenda Arsenal
Kiasi: £34m
Granit Xhaka
2. Sadio Mane – kutoka Southampton kwenda Liverpool
Kiasi: £36m
Sadio Mane
1. Hulk – kutoka Zenit kwenda Shanghai SIPG
Kiasi: £46.1m
Hulk 2


0 comments:

Post a Comment