Friday 22 July 2016

#BREAKING NEWS>>>>MWANAMUZIKI KOFFIE OLOMIDE AMPIGA MATEKE MDADA WA KIKE AIRPORT YA KENYA.Fahamu zaidi hapa.

Mwanamuziki Koffie Olomide leo amempiga mateke mnenguaji wake wa kike, mara baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta.

– Wakati tukio hilo likitokea baadhi ya Askari Polisi waliingilia na kuzuia ugomvi zaidi .

0 comments:

Post a Comment