Thursday 29 September 2016

#BURUDANI>>>>>Kupatwa Kwa Mrembo Huddah: Azama Kimapenzi Kwa Mchagga!...Fahamu zaidi hapa.

 Haya jamani yule Sosholaiti wa Kenya kazama kwa Mchaga wa Kishumundu (Sina uhakika). Kaka huyo ajulikanaye kama Danford Kessy amemteka mrembo huyo ambaye amekiri kuwa ni muda mrefu amekuwa akijilinda lakini sasa amefika bei kwa Mkaka huyo Handsome
Tazama Picha ya mwanaume huyo hapa:


0 comments:

Post a Comment