Tuesday 27 September 2016

#YALIYOJIRI>>>>>Mabasi ya Haraka yalivyogongana yenyewe kwa yenyewe DSM.Fahamu zaidi hapa.

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu UDART kujenga control room katika kituo chao cha Jangwani ambapo imekuwa na msaada wa kumonitor madereva.

Leo September 26 2016 eneo la Magomeni Usalama jijini Dar es salaam kumetokea ajali iliyohusisha mabasi mawili yaendayo haraka baada ya kugongana yakiwa kwenye njia yake. Abiria wote walitoka salama na hakuna madhara yoyote kwa abiria.

VIDEO:

0 comments:

Post a Comment