Tuesday 27 September 2016

#YALIYOJIRI>>>>Picha za Rais Magufuli Akimuapisha Naibu Katibu Mkuu Wa Ofisi Ya Tamisemi Dkt. Zainabu Chaula.Fahamu zaidi hapa.

 Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Zainabu Chaula kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Dkt. Zainabu Chaula mara baada ya kumuapisha kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

0 comments:

Post a Comment