Sunday 25 September 2016

#BURUDANI>>>>Utata wa Nyumba Mpya ya Diamond Waibuka.Fahamu zaidi hapa.

Habari zilizo chini ya carpet huku Instagram ni kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni kama picha inavyoonyesha hapo. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba......


Mdaku Mmoja Huku Instagram Ameandika yafuatayo:

Tzshaderoom
"#roommates nilipost since angalieni post za nyuma nilikuwa wazi. Inasemekana #zari alikuwa akimkosesha Amani #chibu anunue nyumba south coz #ivan hamtaki mwanae kwake. Then msg zilizokuwa zinaeleza #zari atoke ktk nyumba #ivand akazisambaza kisa #mondi kapost nyumba akidai kuwa kamnunulia zari 😂 guys nilikwisha Sema kigoma hapatoki fala uzalendo Kwanzaa 🙌 do you think if #mondi hakuwadhibiti na Ile post yoote yanayo jiri tungeliyajua 🤔 jibu unalo. #zari na #ivan ni business partners now naomba nifunguke. Zari came in Tz kwa Nia ya kufanya kazi na #mondi akawazunguka walio kuwa wanandaa kazi hiyo ifanyike akaomba no. za mondi from mwanadada alioko karibu na binladeni mwanadada huyo anaandaa kipindi flani hivi cha TV. .

Zari alipopata number akampigia mzee wa kugonga na wakakutana na akagonga while wandaaji wa business wamewekwa pending na #zari well hapo Bila kusahau #zari alikuwa bongo kwa niaba ya Sponsor.
.
Why I call everything was well arranged coz #zari alijua what #mondi wants that time #wema was so sure with him. Hapo katikati aliye tangulia hotelini akiwa bongo ni siri binafsi ya #zari then baaaam akasema wamekutana ktk ndege which was a lie walikwisha kutana b4. hatujatulia baaaam she is pregnant 🤔
.
In btn so much drama zimepita my point is #zari and #ivan knew everything I mean everything nakuwa kitakacho mkata pembe #mondi ni mtoto then wafanye Yao. The more wanajifanya hawapo in good terms in public while ktk Bata njee ya media wapo pamoja is the more my 👃 ilipo nusa mchezo.
#mondi kama kawafix am proud of him 👏 coz tunaona kabisa how the movie is going do you think if angelikuwa kanunua huo mjengo kwa mashauzi ya #zari akisaidiwa na #ivan angelikuja kupambana na #bisandra hale 2 the NO. Birthday ingelifanyika south ktk mjengo mpya. .
Why am on #mondi side na kumsifu kwa alicho kifanya #mondi ka hustle to be who he is today so no way to fix him ktk mitego ya kijanja coz Kisha jaribiwa saana. How many girls wanagongwa in TZ na njee do u think hawataki kuwa na mtoto wa #mondi 🤔jibu unalo.
#zari take #mondi child support na ukitaka 🏡 chukua funguo 1 kwa #bisandra ✋ let #mondi B PLS 😩 coz hata Ivan hajakupa 🏡 na umezaa naye 3 "

0 comments:

Post a Comment