Saturday 24 September 2016

#MICHEZO>>>>>Manchester United yatoa kichapo Old Trafford.Fahamu zaidi hapa.

Manchester United ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani Old Trafford yawafulaisha mashabiki wake baada ya kutoa kipigo cha 4  kwa 1
Goli la kwanza limefungwa na Chris Smalling Dakika ya 22,Goli la pili limefungwa na Juan Mata Dakika ya 37,Goli la tatu limefungwa na Marcus Rashford Dakika ya 40, na Goli la nne limefungwa na Paul Pogba Dakika ya 42.Huku goli la kufutia machozi la Leicester City  likifungwa na Demarai Gray Dakika ya 60.

0 comments:

Post a Comment