Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>HUU NI UTABIRI WA MOURINHO BAADA YA POGBA KUTUA OLD TRAFFORD.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho anaamini kwamba timu yake
itarejesha kiasi cha fedha baada ya kuvunja rekodi ya usajili wa dunia
kwa kumsajili Paul Pogba, huku akisisitiza kwamba nyota huyo ana miaka
takriban kumi mbele ya kung’aa.
Pogba amekamilisha uhamisho wake wa euro mil 110 kurudi United akitokea kwa kibibi kizee cha Turin Jeventus mapema leo asubuhi.
“Ana nafasi ya kuwa moyoni mwa mashabiki wa klabu hii kwa miaka kumi na zadi,” Mourinho amesema.
“Paul ni moja ya wachezaji bora duniani na atakuwa mchezaji muhimu
sana kwenye kikosi cha United na nataka nimfanye awe tegemeo kubwa kwa
siku za usoni.”
“Ana kasi, nguvu, anafunga na ana uwezo mkubwa wa kuusoma mchezo vizuri kuliko wachezaji wengi ambao wamemzidi umri.”
“Kwa umri wake wa miaka 23, ana nafasi ya kujimilikisha nafasi yake
kwa miaka mingi zaidi. Bado ni kijana ataendelea kuimarika zaidi.”
Pogba amedumu Juventus kwa miaka minne, ameshinda ubingwa wa Serie A
kwa miaka yote minne. Mourinho anaamini Mfaransa huyo atahamishia makali
yake kunako Old Trafford na kurejesha heshima ya Man United iliyopotea
kwa tangu msimu wa 2012-13.
Related Posts:
Orodha ya Wagombea wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi TFF.
Ifuatayo ni orodha kamili ya Wagombea wanaowania nafasi mbalimbali
za uongozi TFF katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Agosti 12, mwaka
huu mkoani Dodoma.
Wanafamilia hao ni wale waliojitokeza jana Ijumaa na leo Ju… Read More
KUHUSIANA NA SIMBA KUTAKA KUWASAJILI NGOMA, CHIRWA...HANS POPPE HUYU HAPA.
Simba inaamini inaweza kumsajili Obrey Chirwa kutoka Yanga lakini kama tu atavunja mkataba wa kuitumikia timu yake hiyo.
Kuna
taarifa kwamba Chirwa raia wa Zambia, ameandika barua kuvunja mkataba
baada ya Yanga kushin… Read More
VIDEO: ABDI BANDA WA SIMBA KUTIMKIA AFRIKA KUSINI, SAUTI YAKE IPO HAPA.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
&n… Read More
Zitto aukataa Urais TFF.
Ijumaa ya Aprili 21, mwaka huu, gazeti la michezo na burudani nchini,
Mwanaspoti, liliandika habari kwenye ukurasa wake wa kwanza yenye
kichwa: "Zitto ajitosa Urais TFF, Rage amkubali."
Upande wangu, licha ya kwamba hab… Read More
MCHEZAJI Haruna Niyonzima Awa Lulu...Simba Yatumia 100 Kumshawishi.
NI UMAFIA TU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo wa Yanga, Haruna
Niyonzima kudaiwa kujiunga na Klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili
baada ya kupewa ofa ya Sh. milioni 100.
Habari zilizopatikana jana jioni zi… Read More
0 comments:
Post a Comment