Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Naongoza kwa Kutukanwa Kwenye Muziki, Lakini Najivunia Kuupeleka Muziki Sehemu Fulani – Ruge.Fahamu zaidi hapa.
Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi Clouds Media Group, Ruge Mutahaba
amesema yeye ni mtu ambaye anaongoza kwa kutukanwa katika tasnia ya
muziki kutokana na harakati zake za kuupigania muziki.
Akiongea Ijumaa hii katika semina ya wasanii wachanga wa Dodoma
iliyofanyika katika Ukumbi wa Royal Village, Ruge amewataka wasanii hao
kuacha kukata tamaa katika harakati wanazopitia.
“Mimi ni mtu ninaeongoza kwa kutukanwa kwenye tasnia ya muziki,” alisema
Ruge. “Nimetukanwa sana lakini hilo haliniumizi, najivunia kwa kuwa
tumepambana sana kuusimamisha muziki wetu hadi kufika hapa,”.
Ruge Mutahaba ni mmoja kati ya watu waliosaidia kwa namna moja kuchochea
kukuwa kwa muziki wa bongofleva nchini licha ya baadhi ya watu
kutokubali harakati zake.
Related Posts:
Nape aingilia kati sakata la wasanii wa ‘unga’..Aongea Mazito ..Msikilize hapa.Fahamju zaidi hapa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ameingilia
kati na kutaka busara itumike katika zoezi la kutaja wasanii wanaohusika
na dawa za kulevya linalofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul
Makonda
… Read More
Kauli ya Vanessa Mdee Baada ya Kutajwa na RC Makonda Kwenye Listi ya Wahusika wa Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
Iliwashangaza
wengi baada ya Vanessa Mdee naye kutajwa kwenye orodha ya Mkuu wa Mkoa
wa Dar es Salaam, Paul Makonda ya mastaa wanaohusishwa na biashara ya
madawa ya kulevya.
Ni shutuma nzito, na hata kabla uthi… Read More
Hatma ya Chege na Temba Sasa Hadharani..!!!.Fahamu zaidi hapa.
Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Chege Chigunda amesema yuko mbioni
kukata kiu ya mashabiki wa 'Chege na Temba' kwani bada ya kutoa ngoma
yake ya Kelele za Chura, ngoma inayofuata ni yake na swahiba wake Mh.
Temba kuto… Read More
Universal Music Group (UMG) watangaza rasmi kumsainisha Diamond.Fahamu zaidi hapa.
Hatimaye record label kubwa duniani, Universal Music Group (UMG), imemtangaza rasmi kumsainisha Diamond Platnumz.
Anakuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kusainishwa kwenye label hiyo.
Wimbo wake, Marry You … Read More
DIAMOND AMWAALIKA RC MAKONDA NA WEMA SEPETU KWENYE 40 YA MTOTO WAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
DIAMOND AMWAALIKA RC MAKONDA NA WEMA SEPETU KWENYE 40 YA MTOTO WAKE
WALIOTAJWA HAPO WANAOMBWA KUFIKA NYUMBANI KWA BWANA NASIBU TEGETA MADALE JUMAMOSI HII.....!!!!MAJINA MENGINE YATATAJWA KESHO MAPEMA.....!!!!ASANTE
… Read More
0 comments:
Post a Comment